Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Mnaweza kuniita mkorofi ila upande mwingine tutabaki kutatua matatizo ya tanesco umeme masaa mawili usikatike.
Kwanza na mlaumu aliyeanzisha Ili la kujiwekea taratibu Kila mwisho wa mwezi ufanyike usafi shuguli zisifanyike.
Kuna watu hapa JF mtatoa mapovu ila kujiuliza kama mijini na masokoni Kuna Kila aina ya ushuru mfano pesa ya takataka,pesa za mazingira tena wale wenye viwanda n.k zote hizi zikilenga swala la usafi.
Kwa wale mliopo mijini mnaafahamu wanao husika na kusafisha Jiji Kila mda wa jioni.
La kujiuliza kazi zao ni nini mpaka mwisho wa mwezi Yani tunapoteza pesa za nyingi Kila mwisho wa mwezi.
Kwa sifa za viongozi wasio na akili
Kwanza na mlaumu aliyeanzisha Ili la kujiwekea taratibu Kila mwisho wa mwezi ufanyike usafi shuguli zisifanyike.
Kuna watu hapa JF mtatoa mapovu ila kujiuliza kama mijini na masokoni Kuna Kila aina ya ushuru mfano pesa ya takataka,pesa za mazingira tena wale wenye viwanda n.k zote hizi zikilenga swala la usafi.
Kwa wale mliopo mijini mnaafahamu wanao husika na kusafisha Jiji Kila mda wa jioni.
La kujiuliza kazi zao ni nini mpaka mwisho wa mwezi Yani tunapoteza pesa za nyingi Kila mwisho wa mwezi.
Kwa sifa za viongozi wasio na akili