WILLY GAMBA
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 211
- 87
Hahahaaaaa hii serikali sasa inatuona wote ni mabwira.
Watanzania tunalipishwa kodi nyingi sana,haki ya nani mimi wanangu watasafisha maeneo ya nyumba yangu tu!
kama wameshindwa ku provide essential services (Merits) tools na equipments kwenye serikali za mitaa na kuhakikishajMajiji yanapewa fungu la kujazia kwenye budget ya usafi basi sioni maana ya kuiita hiyo ni serikali makini.
Kumfanyisha mtu kazi bila malipo hata mungu wa Wasabato atawalaani.
Tumieni pesa zetu kwa busara sio kufanya mashindano ya kufyatuka.
Very sad people
Watanzania tunalipishwa kodi nyingi sana,haki ya nani mimi wanangu watasafisha maeneo ya nyumba yangu tu!
kama wameshindwa ku provide essential services (Merits) tools na equipments kwenye serikali za mitaa na kuhakikishajMajiji yanapewa fungu la kujazia kwenye budget ya usafi basi sioni maana ya kuiita hiyo ni serikali makini.
Kumfanyisha mtu kazi bila malipo hata mungu wa Wasabato atawalaani.
Tumieni pesa zetu kwa busara sio kufanya mashindano ya kufyatuka.
Very sad people