Serikali ivunje Mkataba na hospitali za Kanisa, ielekeze hizo Bilioni 30 kwenye Matibabu ya wazee na wajawazito

sijaona mtu aliyeuliza kabla ya 1992, hizo hospitali zinazosimamiwa na kanisa zilikua zinatoza kiasi gani?? .

Mimi ni muislam lakini mama yangu alilazwa KCMC mwanzoni mwa miaka ya 70 alifanyiwa upasuaji na kwa technogy ya kipindi kile alilazwa zaidi ya mwezi mmoja,hakulipa fedha yoyote na huduma zote zilikua ni bure pamoja na chakula na uniform za wagonjwa.

Malipo yalianza pale serikali ilipotangaza malipo ya huduma za afya mwanzoni mwa miaka ya 90.
 
Matokeo ya Elimu Bure ndo haya Sasa tunayaona, hivi ukienda kutibiwa BUGANDO, au KCMC unaulizwa Dini Yako? Au Kuna pesa unatozwa tofauti na Wakiristu, au Wakiristu Wanapewa huduma tofauti na waislamu,? Leo serikali ikizinyima ruzuku hizo hospital wananchi wengi watashindwa kumudu gharama za matibabu, nenda tu hapo muhimbili inayo milikiwa na serikali 100% uone gharama za matibabu zilivyo juu, sekta ya Afya ni sekta inayo hitaji uwekezaji wa Hali ya juu, serikali yenyewe bila kushirikiana na wadau kama makanisa na mashirika haiwezi,
Wewe unajua gharama za matibabu ya hizo hospiitali za kanisa ukilinganisha na hospitali zingine za private au unaongea tu?
 
Balaa lote la bandari, ...kanisa limeguswa kutokana tu na na cake ya tax exemption...
Kumbe ndo sababu ya kupinga huo mkataba bila facts, kanisa imezoea vya bure ndo shida na niwanafiki wakubwa sanaa.
 
Ni udhaifu wa mtu binafsi kuhusisha maoni yangu na mkataba wa bandari au dini na maoni yangu, nina independent and sobar mind, sioni sababu yoyote ya ku-justify ma billion ya pesa inayo poteza serikali kwa kutoa ruzuku kwa tasisi za kidini hasa kanisa, wakati serikali inaweza kuboresha haspitali zake kwa kutumia hiyo pesa, mkuu naomba usihusishe waislamu na maoni yangu binafsi hata dini sidhani kama unawakika nao, tuungane tupinge upotevu wa pesa ya ummah bila kuangalia dini za watu.
Tungeanza kwanza kuungana kwenye kupinga mkataba wa Ki Mangungo wa bandari.Hivi kwa uelewa wako kati ya kanisa na serikali kuhusu kutoa huduma za afya unafikiri nani anamhitaji mwingine?Tufanye leo serikali ijitoe kutoa ruzuku,unaamini kanisa litashindwa kujiendesha?Serikali inatoa financial resources tu lkn kanisa limesheheni human resources,physical resource,social resources pamoja na raslimali nyingi sana.Katika Ujumla wake kwa mfano kanisa Katoliki linao uwezo wa kuiendesha Bugando kwa kutumia watu wake tuu (Mapadre na masister).Kwa lilipofikia kanisa linao uwezo wa kuendesha taasisi zake kwa kujitegemea lenyewe na limekuwa likifanya hivyo miaka yote.
Hebu angalia utitiri wa shule za kanisa nchi hii nao unategemea MoU?Hebu kuweni serious jamani.
 
Tungeanza kwanza kuungana kwenye kupinga mkataba wa Ki Mangungo wa bandari.Hivi kwa uelewa wako kati ya kanisa na serikali kuhusu kutoa huduma za afya unafikiri nani anamhitaji mwingine?Tufanye leo serikali ijitoe kutoa ruzuku,unaamini kanisa litashindwa kujiendesha?Serikali inatoa financial resources tu lkn kanisa limesheheni human resources,physical resource,social resources pamoja na raslimali nyingi sana.Katika Ujumla wake kwa mfano kanisa Katoliki linao uwezo wa kuiendesha Bugando kwa kutumia watu wake tuu (Mapadre na masister).Kwa lilipofikia kanisa linao uwezo wa kuendesha taasisi zake kwa kujitegemea lenyewe na limekuwa likifanya hivyo miaka yote.
Hebu angalia utitiri wa shule za kanisa nchi hii nao unategemea MoU?Hebu kuweni serious jamani.
Kwa sasa wakatoliki wanasimika taasisi ya huduma za jamii kila parokia.Namaanisha kila parokia.Pasipokuwepo taasisi ya elimu (kwa maana ya msingi,sekondari au chuo) patakuwepo ya afya na yeyote ile na hii iko kwenye mpango mkakati wa TEC hebu piga idadi ya parokia nchi hii uone kiasi ya taasisi zinazomilikiwa na kanisa.Na mojawapo ya mikakati yao ni kusimika chuo kikuu kila jimbo.Hawa watu hawahitaji ruzuku kusurvive.Kibaya zaidi wale wa dini nyingine wanalipia kupeleka watoto wao huko.Hawa jamaa hawakamatiki.
 
Kuna uhusiano gani na bandari wakati mada haihusiani na bandari au ndio sindano imeingia sehem yake?
Wananchi na Taifa tunazungumzia Bandari nyie mnaleta mambo yenu ya wivu kwa Kanisa ili kututoa relini hatutoki ng'o
 
Tungeanza kwanza kuungana kwenye kupinga mkataba wa Ki Mangungo wa bandari.Hivi kwa uelewa wako kati ya kanisa na serikali kuhusu kutoa huduma za afya unafikiri nani anamhitaji mwingine?Tufanye leo serikali ijitoe kutoa ruzuku,unaamini kanisa litashindwa kujiendesha?Serikali inatoa financial resources tu lkn kanisa limesheheni human resources,physical resource,social resources pamoja na raslimali nyingi sana.Katika Ujumla wake kwa mfano kanisa Katoliki linao uwezo wa kuiendesha Bugando kwa kutumia watu wake tuu (Mapadre na masister).Kwa lilipofikia kanisa linao uwezo wa kuendesha taasisi zake kwa kujitegemea lenyewe na limekuwa likifanya hivyo miaka yote.
Hebu angalia utitiri wa shule za kanisa nchi hii nao unategemea MoU?Hebu kuweni serious jamani.
Ile religious fanatics wengi ni wajinga na wapumbavu utalinganisha je uwezo wa serikali ya jamhuri ya Tanzania na kanisa inao tegemea musaada na sadaka za watu, kwa kweli nyie ni mbumbumbu kama kondo.. ....kanisa ni nothing kwa sarikali hata wakifunga tasisi zao zote nchi itaendelea bila shida kabisa.
 
Kumbe ndo lengo lao Hilo!?
Kwahiyo wanaletenhaoja ya MoU yenye 36b,Ili tusioji ya bandari!?

Kweli ushamba mzigo
Halafu MoU yenyewe ya 1992 na ilipitishwa chini ya rais mwinyi muislam mwenzao wako wanapiga kelele hapa wao enzi hizo walikuwa hawana shule wala hospital
 
Mimi sioni shida, kwakuwa wamewekeza maslahi ya nchi kwenye udini wakati wenzao wanawaambia mkataba ndio shida na hawasikii mbona byee tu. Ila nakwambia nipo hii sekta muda mrefu, watakaoteseka ni wananchi haki na kwambia. Unayekaa Dar, kama hujawahi ishi mikoani basi huijui hali halisi ya huduma za afya. Kagera sio sawa Dar ohoo. Pia mbona sikuhizi basket fund imepunguzwa vyakutoshwa kupelekwa kwenye DDH hospitals ila zinaenda serikarini, maana hata wao wenyewe hawaoni faida ya uwepo wa serikari maana basket fund ni kama wameifunga kwa DDH hospitals. ndugu ndugu, usiingize afya kwenye udini utalia wewe ohoo, mimi nipo pale nakuhakikishia mkileta mapendekezo hayo hamna kanisa litakalokataa maana mpaka sasa basket funds kwenye designated hospitals nikama vile limekufa ila sasa specialized services zote kwa district mpaka zonal hospitals zinapatikana uko. Boss boss, afya sio siasa, acha tukae kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile religious fanatics wengi ni wajinga na wapumbavu utalinganisha je uwezo wa serikali ya jamhuri ya Tanzania na kanisa inao tegemea musaada na sadaka za watu, kwa kweli nyie ni mbumbumbu kama kondo.. ....kanisa ni nothing kwa sarikali hata wakifunga tasisi zao zote nchi itaendelea bila shida kabisa.
Nimekwambia mkivunja MoU kanisa halitetereki.Pia kanisa linategemea sadaka na serikali inategemea kodi.Sijalinganisha
 
Okay vitu nime-witness

BUGANGO
-CT scan 250,000
-Uchunguzi wa macho 30,000
-Kumuona daktari 20,000


SEKETURE
-CT scan 150,000
-Uchuguzi wa macho 10,000
-Kumuona Daktar 10,000
Boss unajuwa kuwa unacompare hospitali mbili zenye ngazi mbili tofauti, afya ni complex aisee usifikiri ni siasa. Zonal hospital vs Regional refferal hospital, be careful.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti gumzo inchi nzima yaani wewe kama wewe umekuwa inchi?
Nadhani ukifuatilia ni maeneo ambayo serikali inakuwa haina hospital ndo huwa wanateam up na watu wa kanisa Kama Bugando KCMC KUle Makete na pale ILembura kwa kutolea mifano tuu.
Pia ukumbuke ata shule za mission vivyo ivyo ingawa zipo chache zmerudishwa kama Forodhani
 
Point yangu siyo hiyo. Point yangu ni kuwa kwa sasa kutokana na huduma za afya kuongezeka fedha zinazotolewa na serikali kwaajili ya hospitali za makanisa zielekezwe kwenye taasisi za serikali na hospitali za makanisa zijiendeshe kutokana na mapato yao. Wagonjwa tukienda si tunalipia huduma au ?
Boss mbona hilo lilikwisha fanyika, hivi mnajua hata hizo pesa zinatolewa kwa mfumo gani eti. Haki, kuna mambo mengi kweli wananchi hawayajui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi waumie mara ngapi? Mpaka sasa wananchi tunaumia sana tu hakuna unafuu huko nilimpeleka mwanangu kcmc alifanyiwa operation ndogo tu ya kutoa nyama za pua ila huwezi kuamini bill niliyoletewa sasa kuna faida gani hospitali kama hizi kupewa ruzuku na serikali na madaktari kulipwa mishahara na serikali?
Hapo ndipo linapokuja somo la kujua level gani ya hospitali uliokwenda. Polypectomy mbona inafanyika regional refferal hospitals na hata district hospitals, kilichokupeleka zonal hospital ni nini boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ndo inalipa mshahara ya madakitari wote wa Bugando nje ya ile 36bn shilling.kwanini bado huduma zao bei iko juu?
Thubutu, unajua jinsi Bugando inavyoajiri chief. Hii sasa ni hasara sasa kwa taifa, duh! Kuna watumishi wa aina mbili pale, aisee! Mtaweza kuingia vita kwavitu vya kijinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pinga hilo wazo kwa kuonyesha kwamba 36bn kila mwaka haiwezi kutoa bima kwa watu wakutosha ikizungushwa miaka mitano kama watu wote hawatakua na bima, bima ya mtoto ilikua 50400 igawe kwa 36bn ujionee wangapi wata pata bima.
Swala la bima ni complex sana, ukielezewa hapa hutoelewa nakuhakikishia. 50,400/= haitoshi hata kidogo maana kwawastani wagonjwa hospitali za wilaya hutumia 40,000/= kwasiku na za rufaa ni 60,000/= na hiyo ilikuwa mwaka jana. Unaijua bima ile strategic chief, vigezo vyake huingii hata kwa kushikiwa risasi ndio maana huoni strategis au jubilee akiingia mtu mmojammoja, utafilisika na tutakupoteza kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom