OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Hii ni mikusanyiko ya lazima ukizingatia kwamba Corona inajua kwamba huyu ni Waziri anayehusika na fedha. Corona inajua hawa waliokusanyika wameitwa na Waziri kwa hiyo Corona itafanya process kisayansi inaitwa Kwepability. Hata taratibu za kujikinga na Corona zimesema tusikusanyike bila ulazima isipokuwa kwa mikutano ya Mwigulu.
Sasa kuondoa usumbufu na maswali serikali itangaze kwamba hii mikutano sio hatarishi kabisa na Corona. Halafu pia anatukusanya kutuambia kuache kukusanyika kujikinga na Corona.
Ni hayo tu