Viva89
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 1,262
- 530
watu mbona mnajisahaulisha?.kwani kuhusu kutojenga maeneo hatari kama hayo imeanza kusemwa Rais alivyoingia madarakani? shida ni ubishi wa sisi wananchi na serikali kuwachekelea, then maafa yakitokea serikali ndio inalalamikiwa,..sasa imagine kama El-Nino ingeshuka, mnafikiri wange-survive?!..zoezi liendelee kwa maeneo yote nchini ambayo yamejengwa pale ambapo hapakustahili kujengwa