Mh rais, sitisha hili zoezi la bomoa bomoa kwa wakazi wa mabondeni. Tunajua kua kuna baadhi walipewa viwanja na wengine hawakupewa kabisa, Ijulikane kwamba hakuna mtu anaependa kuishi kwa tabu kiasi kile kwenye mvua hua hawana amani ila ni shida tu!
Nafiki tunazalisha kizazi cha kuichukia serikali. Angalia watoto wanavyolia pamoja na wazazi wao. Ni heri kama ingetumika busara ya kuwapa fidia ya kodi ya japo mwaka mmoja kwa kila mmoja. Ikumbukwe serikali nayo inamakosa kwanini wasinge wazuia wakati wanajenga?
Hebu angalia watoto wanavyo teseka
facebook.com/itvtz
Nafiki tunazalisha kizazi cha kuichukia serikali. Angalia watoto wanavyolia pamoja na wazazi wao. Ni heri kama ingetumika busara ya kuwapa fidia ya kodi ya japo mwaka mmoja kwa kila mmoja. Ikumbukwe serikali nayo inamakosa kwanini wasinge wazuia wakati wanajenga?
Hebu angalia watoto wanavyo teseka
facebook.com/itvtz