Moja ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma ni hili la kuondolewa Kwa annual increment na serikali, ambayo ipo kisheria huku huku ikishindwa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma, inayokidhi hali ya sasa.
Uwepo wa increment kwenye mishahara imetoa uzoefu kazini, nikiwa na maana kuwa hakuna senior na junior kazini, mtu anaweza kuwa ameanza kazin zaidi ya miaka mitatu ya mwingine lakini wote wana mshahara sawa.
Lakin pia, serikali iachane na nyongeza ya mishahara kama inaona haiwezi au inaogopa mfumuko wa bei, basi iwapandishe madaraja watumishi wake mapema kwani hii huwa ni Siri kati ya mwajiriwa na mwajiri, haiitaji kutangaza sana kama nyongeza inavyotangazwa hivyo kusababisha mfumuko wa bei n.k.
Uwepo wa increment kwenye mishahara imetoa uzoefu kazini, nikiwa na maana kuwa hakuna senior na junior kazini, mtu anaweza kuwa ameanza kazin zaidi ya miaka mitatu ya mwingine lakini wote wana mshahara sawa.
Lakin pia, serikali iachane na nyongeza ya mishahara kama inaona haiwezi au inaogopa mfumuko wa bei, basi iwapandishe madaraja watumishi wake mapema kwani hii huwa ni Siri kati ya mwajiriwa na mwajiri, haiitaji kutangaza sana kama nyongeza inavyotangazwa hivyo kusababisha mfumuko wa bei n.k.