roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,484
- 2,573
Hali ya mtumishi Tanzania kuanzia wakati kutoka awamu iliyopita mpaka Sasa ni Tete!! Serikali ya Magufuli ilishindwa kuongeza mishahara Kwa kipindi cha uhai wake akiwa kama Rais wa nchi!!
Tatizo hili linajirudia tena na tena, ambapo hata kanachoitwa annual increment ambayo ni haki ya msingi haipo tena!!!
Niishauri serikali ni muda muafaka Sasa ipunguze muda wa kufanya kazi ili watumishi wanalalama wapate muda wa kuingia mtaana na kuisaka shilingi Kwa udi na uvumba!! Badala ya masaa nane Sasa yapungue na yabaki matano tuu!!
Watumishi wengi wanashughuli mbalimbali kama udereva Noah, udereva pikpiki, mashine za kusaga,sheli bubu,saloon,kukaanga vihepe,aka chips,nk!! Niwazi kama watatia nguvu kwenye usimamizi wataongeza vipato hivyo kupunguza ukali wa maisha uliosababishwa na serikali kujishindwa!!
Tatizo hili linajirudia tena na tena, ambapo hata kanachoitwa annual increment ambayo ni haki ya msingi haipo tena!!!
Niishauri serikali ni muda muafaka Sasa ipunguze muda wa kufanya kazi ili watumishi wanalalama wapate muda wa kuingia mtaana na kuisaka shilingi Kwa udi na uvumba!! Badala ya masaa nane Sasa yapungue na yabaki matano tuu!!
Watumishi wengi wanashughuli mbalimbali kama udereva Noah, udereva pikpiki, mashine za kusaga,sheli bubu,saloon,kukaanga vihepe,aka chips,nk!! Niwazi kama watatia nguvu kwenye usimamizi wataongeza vipato hivyo kupunguza ukali wa maisha uliosababishwa na serikali kujishindwa!!