Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,819
- 3,493
- Thread starter
- #21
vipi buda mbn unagugumia tuKinaja wa hovyo kabisa tangu huu mwaka uanze...
Tena wa hovyo grade one...
weka hoja mezani ipimwe
vipi buda mbn unagugumia tuKinaja wa hovyo kabisa tangu huu mwaka uanze...
Tena wa hovyo grade one...
Uko serious mkuu.Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Jifunze kwanza kusoma na kuandika.mrizike na mlichokipata kwa muda wote huo mliokamua watu mabei ya kibwanyenye kunenepesha matumbo yenu
msitake kujilimbikizia nyinyi tu
huo nao ni ufisadi mwingine tu
mkuu hapo kwenye utt amis umegonga penyewe. Kwa serikali hii kuna siku watu wataamka na kilio!Hospital binafsi wanatumia gharama zao kutoa huduma, kununua madawa, kodi kibao wanatoa, kulipa wafanyakazi.
Kwa mfano, wamesitisha huduma nani anapata madhara? Hii mifuko mnachota pesa za wachungiaji mpaka inakuwa empty kabisa, then mnaleta siasa za hovyo.
Kila mfumo, mnataka kupata pesa very soon mtaenda kule Utt amis, mchote pesa mkafanye kampeni, mwishoe watu wakitaka kutoa pesa zao muanze kuwazungusha.
lete hoja kiongoziJifunze kwanza kusoma na kuandika.
Ujinga una gharama kubwa sana.
Maana unajenga chuki kwa mambo yasiyokuwepo.
Ninyi ndio wale wazee ambayo wamepewa NHIF na watoto wao, halafu hawaendi nazo hospital kwasababu eti zikitumika hospital watoto wao watakatwa pesa.
Uzuzu ni mzigo mzito
ueleweki unatetea nini mkuuHakuna mtu anayefanya biashara Ili hasipate Faida. private Hospital zipo sahihi.. Kwani wanalipa Kodi kubwa wanalipa salary Kwa wafanya Kazi na gharama nyingine za uendeshaji. Mapato ya nchi hii yanawanufaisha watu wachache asa wana siasa wa kubwa tu
umehama kwenye afya sasa upo utt?mkuu hapo kwenye utt amis umegonga penyewe. Kwa serikali hii kuna siku watu wataamka na kilio!
Na kesho serikali ikikubali matakwa ya APTHA utakuja kupongeza hapaHizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Watakuja kuchota pesa ,washindwe kuzirudisha hapo ndio balaa litaanzamkuu hapo kwenye utt amis umegonga penyewe. Kwa serikali hii kuna siku watu wataamka na kilio!
haiwezekani mkubaliwe kama mnavotaka nyinyiNa kesho serikali ikikubali matakwa ya APTHA utakuja kupongeza hapa
Ndio hapo sasa na mtu anakuambia Serikali ipongezwe. Trumph alikua sahihi sana kuwa tunapaswa kutawaliwa tena. Kama wasomi wetu ndio wenye mawazo kama haya.Kuna wagonjwa wengi wako kwenye dialysis three times a week. Si watakufa tu!
Miongoni mwa vitu wanavyokosea Serikali hususani NHIF ni huduma za ki dgitali.Ila tuache unafiki hospitali binafsi hasa hizi zinazojiita polyclinic na zile kubwa zinaibia sana mfuko wa bima ( NHIF) hili nimelishuhudia mwenyewe kwa macho yangu, yaani unakuta mtu anapewa maelezo kabisa jinsi ya kuchakata form sijui hata NHIF wafanye vipi kukabiliana na hili suala maana ishakuwa kama fashion sasa.
Kwanini wasiende kwenye hospital za serikali?Sawa.
Hawataki tena hiyo faida kubwa waliyokuwa wanaipata kwa NHIF.
Sasa hivi ukienda na hicho kikadi chako cha NHIF hawapokei, utalipa cash.
Huu upoyoyo ndio CCM wanaufurahia.
Hospital za serikali kumejaa panadol tu. Dawa nyingi ni za kununua.Mm kwa Kweli Niko na serekali ktk Hili
.naomba tu wapanue wigo mpana ktk hospitali zake
Hili la aphfa wafie wskatibu watu binafsi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Utasikia mama anaupiga mwingi. Hii Nchi ukiwa unafuatilia kwa makini jinsi inavyokwenda utaishia kuwa kichaa tu.Na kesho serikali ikikubali matakwa ya APTHA utakuja kupongeza hapa
Mbaya zaid unasainishwa kabla hata hayo matibabu yenyewe hujayapata, ukishasaini unaingia kwa Dr pengine shida Yako inahitaji ushauri nasaha tu ukishaondoka Ile form inajazwa dawa na mavipimo wakat hukupata hizo hudumaMiongoni mwa vitu wanavyokosea Serikali hususani NHIF ni huduma za ki dgitali.
Mtu unakwenda Hospitali unaambiwa saini hapa unasaini wakati huo wewe unachosaini haukioni. Anaona anaye operate mfumo (computer) unamaliza matibabu unasaini unaondoka.
Ilipaswa ukishasaini kile chote kilichojazwa kuwa ni huduma uliyopewa kije kwenye simu yako (msg) au upewe ripoti ili ujue umesaini nini.
Nje ya hapo watapigwa sana maana inabaki kiwa siri ya hospitali tu mgonjwa hajui chochote.