LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,167
- 11,220
Hii nchi ndio mjue kila kiongozi anaangalia maslahi yake hakuna mtu serious wa kuangalia naslahi ya mtu.
Mtu anapitisha bajeti kununua Ma V8 kwaajili ya kiongozi mmoja mmoja halafu yapo magari mazima wanayaharibu makusudi yanakuja kuuzwa mnada kwa milioni 8 ili zinunuliwe mpya!
Ila Mwendokasi hela ya kununua gari mpya hawana! Aloo hii nchi!
==
Pia soma:
Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala
Waziri Mchengerwa: Nilipewa bajeti ya dola laki 5 ili kununua basi moja la mwendokasi
Mtu anapitisha bajeti kununua Ma V8 kwaajili ya kiongozi mmoja mmoja halafu yapo magari mazima wanayaharibu makusudi yanakuja kuuzwa mnada kwa milioni 8 ili zinunuliwe mpya!
Ila Mwendokasi hela ya kununua gari mpya hawana! Aloo hii nchi!
==
Pia soma:
Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala
Waziri Mchengerwa: Nilipewa bajeti ya dola laki 5 ili kununua basi moja la mwendokasi