Serikali ingewaacha CHADEMA waandamane ingekuwaje?

Serikali ingewaacha CHADEMA waandamane ingekuwaje?

ha ha ha fred unatishia nani? Uwazi na ukweli kwa zama hzi,changia mada iliopo na wala usilete vitisho kama sirikali ya ccm.[/QUOTE

merc sijatishia mtu sir good na afwe ndio walikuja wananipa vitisho na kuniambia nitanyea debe. Nikawapa na mawasiliano ili wanitafute vizuri, soma kuanzia mwanzo
 
merc sijatishia mtu sir good na afwe ndio walikuja wananipa vitisho na kuniambia nitanyea debe. Nikawapa na mawasiliano ili wanitafute vizuri, soma kuanzia mwanzo

sina muda wa kuhangaika na kijuguruguja kama wewe.
 
ina maana hujui kama Lema alikuwa jambazi au unafanya kusudi?

Sijui na wala sina evidence na wala huna evidence kuonyesha kuwa huyo Lema alikuwa jambazi.Sasa jamabazi anapata wapi bomu kutoka kwenye ghala la JWTZ?Usitufanye sote wajinga au wapumbavu.
 
Back
Top Bottom