Serikali ingewaacha CHADEMA waandamane ingekuwaje?

Serikali ingewaacha CHADEMA waandamane ingekuwaje?

Na wewe kilaza mbila ni njaa tu inakutesa Sio kingine ila ole wako uthukumiwa kwa kiwango cha uelewa wako

Sijakuelewa! Kwa ulichokiandika tu bila shaka sio wa weledi unaolingana na mimi. Discuss issues ili uelewe sio kushambulia personalities. Unawajua watu wote wanaopita kwenye mitandao? au unafanya kwa mazoea!!!!
 
Kukujuwa wewe utanisaidia nn? By the way huu ni Mtandao hata ingekuwa nani. Je wewe wanijuwa mm? Chunga vimaneno vyako vya kujitapa, hata mm nipo huko unakowaza.
 
"A politician divides mankind into two classes: TOOL and ENEMIES. If you don't care choose one for me,
 
Kama kweli cdm haina mashiko,mngeicha iandamane!kitendo cha kutumia nguvu kubwa kunaonesha kuwa mnaogopa impact yake!
Cdm mmenipa kipimo cha namna mnavyokubalika.
Awali sitta na wenzie walisema wanayasubiri maandamano kwa hamu kubwa,akiwa na maana anasubiri kuona cdm akiumbuka vibaya sana kwa kutoungwa mkono na wananchi,yako wapi sasa?mbona mmetumia nguvu kufanya zuio?hahahahaaaa,mtajibeba mwakani
 
Nimejaribu kufuatilia kwa karibu mambo yanayotokea kufuatia CDM kuamua kuandamana kupinga mwenendo wa BMK nimejikuta ninapata shida kuamini kuwa nchi yetu ina intelijensia iliyo makini. Sidhani kama kuazimia kuandamana ni kosa. Bila shaka ni vibaya kuandamana bila kufuata utaratibu. Nimeshangaa polisi kupiga marufuku maandamano hata kabla ya taarifa za dhamira ya kuandamana kupelekwa katika ofisi zao.

Nimeshawishika kuamini kwamba huenda serikali kupitia jeshi lake la polisi kama wangeamua kushirikianana na CDM kuandaa na hatimaye kuyasimamia maandaano yao huenda impact ya maandamano hayo isingekuwa kubwa kama dhamira ya CDM ilivyokuwa. Kitendo cha kuyazuia kimeifanya CDM kuwa yenye mafanikio makubwa kwani imewafanya watanzania wajue kuwa kuna ufisadi katika serikali na chama tawala. Ni kweli watu wengi wakiwemo watoto wamejua kuwa serikali yao ni dhalimu kwa kuona mabavu yanayotumika.

Hakuna serikali dhalimu popote duniani iliruhusu wananchi waandamane wadai haki zao!

ila kitu cha msingi serikali imejua nini wananchi wanataka, inaweza kugharimu damu za watanzania ipo siku haki ya mtanzania itapatikana
 
mafisadi wanaogopa sana maandamano ya CHADEMA kama ebola kwasababu wanajua wataumbuka vibaya sana
 
Sasa wewe ulivojitapa unamanisha nn? Unadhan ni zama za woga izi? Zaman
 
Ati nn sir good?? Pole sana kwa mawasiliano zaidi piga 0656931601 fred masawe. Ninadhani una ndoto za abunuasi, hii ni mtu nyingine bana, kwanza wewe nadhani ufanye yako Ukimaliza uje kwangu nikupe darasa dunia. ( "In anger we should refrain both from speech and action)
 
Ati nn sir good?? Pole sana kwa mawasiliano zaidi piga 0656931601 fred masawe. Ninadhani una ndoto za abunuasi, hii ni mtu nyingine bana, kwanza wewe nadhani ufanye yako Ukimaliza uje kwangu nikupe darasa dunia. ( "In anger we should refrain both from speech and action)

utawatisha hao hao mafulafula wenzio siyo mimi.
 
Ati nn sir good?? Pole sana kwa mawasiliano zaidi piga 0656931601 fred masawe. Ninadhani una ndoto za abunuasi, hii ni mtu nyingine bana, kwanza wewe nadhani ufanye yako Ukimaliza uje kwangu nikupe darasa dunia. ( "In anger we should refrain both from speech and action)

Fred, mbona unajadili mada tofauti na wenzio?? jifunze kuvumilia maoni ya wenzio hata kama yanatofautiana na yako. Ubabe, matusi, bila shaka sio hulka ya Great Thinkers.
 
Wamechelewa kujitambua na kibaya zaidi kwa sasa hakuna kiongozi hata mmoja mwenye busara pale chadema wote pulugwe kabisi.

Wengi tunatazama lkn wachache wanaoona,bora yako wewe umeona hongera.
 
Afwe sijadili mada tofauti, nimejibu tu pia, niwasaidie wazo moja, ukiwa great thinker unafanya yafuatayo. 1.epuka propaganda za kichochezi na uongo.
2.ukisema kitu Uwe na majibu stahiki na Sio rumas, kijana au mzee mwenye busara ni lazima ujiulize nin baada ya maneno izo?
3 usipende kupinga upinzani, naamini ukichangia kwa uweled kwa hoja nyepesi utatoa povu tu,

Na mwisho Afwe sir good aliniambia nitanyea debe nikamjibu na kumpa mawasiliano ili atekeleze aliyosema, only dat nothing to add
 
Kukujuwa wewe utanisaidia nn? By the way huu ni Mtandao hata ingekuwa nani. Je wewe wanijuwa mm? Chunga vimaneno vyako vya kujitapa, hata mm nipo huko unakowaza.

na wewe uko huku?ha ha ha ha unachekesha.kamtishe nyau huko,
 
Una washwa?

anaewashwa ni wewe na serkali dhalimu,ukweli ndo huo aibu kubwa ingekumbwa sana .japo aibu ipo palepale katiba itakapokataliwa.ndo mana mkubwa amesema ipigiwe kura baada ya yeye kuwa hayupo madarakani,
 
Fred, mbona unajadili mada tofauti na wenzio?? jifunze kuvumilia maoni ya wenzio hata kama yanatofautiana na yako. Ubabe, matusi, bila shaka sio hulka ya Great Thinkers.

ha ha ha fred unatishia nani? Uwazi na ukweli kwa zama hzi,changia mada iliopo na wala usilete vitisho kama sirikali ya ccm.
 
Back
Top Bottom