Serikali inatweet vipi katika mitandao iliyoifungia?

Serikali inatweet vipi katika mitandao iliyoifungia?

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,970
Ni kuuliza tu si kwa ubaya.
Serikali kama imamu na sisi wananchi kama mamuma tuna wajibu wa kuifuatisha katika jambo lolote linaloona si jema kwetu.

Kuufungia mitandao wa x ni wazi kua wamebaini kua mtandao huo si salama kwa matumizi hapa nchini.

Ajabu ni kwamba serikali hiyohiyo iliyoifungia mtandao huo bado wanautumia mtandao huo kupasha habari.

Je wakitwit hua wanawalenga kuwapasha habari kina nani?.

Raia wa nchi za nje?

Ilipaswa waoneshe mfano kwa wao kutotumia mtandao huo ili kumuaminisha raia kua si haki kuendelea kutumia.

Hapo ni sawa na shekhe aseme nguruwe haramu afu yeye unamkuta na sahani ya kiti moto.
 
Ukifatilia sana mambo yanayoendelea nchi hii yatakupasua kichwa bure!, bora tu kupambania ugali wa familia yako nyumbani!, sio huko X tu, ila hata humu wamefungia JF cha ajabu wao wanavunja sheria wanaingia na kuzurula na ids zao za kificho kuja kutupima upepo humu wakitumia VPN!.
 
Ni kuuliza tu si kwa ubaya.
Serikali kama imamu na sisi wananchi kama mamuma tuna wajibu wa kuifuatisha katika jambo lolote linaloona si jema kwetu.

Kuufungia mitandao wa x ni wazi kua wamebaini kua mtandao huo si salama kwa matumizi hapa nchini.

Ajabu ni kwamba serikali hiyohiyo iliyoifungia mtandao huo bado wanautumia mtandao huo kupasha habari.

Je wakitwit hua wanawalenga kuwapasha habari kina nani?.

Raia wa nchi za nje?

Ilipaswa waoneshe mfano kwa wao kutotumia mtandao huo ili kumuaminisha raia kua si haki kuendelea kutumia.

Hapo ni sawa na shekhe aseme nguruwe haramu afu yeye unamkuta na sahani ya kiti moto.
Wanajua kuna watu wanatumia VPN na kuna wengine wapo nje ya nchi
 
Back
Top Bottom