Ahahahahaaaaa mkuu umenichekesha kweliUnaongea na sisi au unaongea na simu?
Lkni mkuu mi naona wsmefanya la maana, Lema bdo yuko kule ndani wangemkamata ns huyu, watu wangeona wapinzani wanaandamwa sana. Aliyewapa ushauri wasimkamate alitumia akili ya ziada.Imuogope kwani ye nani hasa..?
Avunje sheria aone...
Lkni mkuu mi naona wsmefanya la maana, Lema bdo yuko kule ndani wangemkamata ns huyu, watu wangeona wapinzani wanaandamwa sana. Aliyewapa ushauri wasimkamate alitumia akili ya ziada.
Kumbuka Mahakama ilitoa amri Lissu akamatwe...huyo hakimu inaelekea ni mkereketwa wa chama.
..suala la msingi ni kuwa Tundu Lissu amefika mahakamani.
..kwamba amefikishwa mahakamani na polisi au kwa hiari yake mwenyewe siyo hoja ya msingi.
Unaongea na sisi au unaongea na simu?


. Atakuwa anaongea na simu huyu jamaa.Dandia dandia ile, unaisahau...Akamatwe kwa kosa gani?
Kwa amri ya mahakama...Akamatwe kwa kosa gani?
Kwani Lema kavuka hiyo Red line au ni Ubabe tu wa serikali!!?Hivi mnazijua serikali za nchi za Africa?
Eti serikali inamuoga Lissu.
Kumbe serikali inapompuuza mnadhani inamuoga?
Lissu hajakatiza kwenye utepe unaitwa red line ndiyo maana mnadhani serikali inamuogopa. Siku akikatiza ndio mtapata jibu sahihi.
Ninachompongeza Lissu ni kufahamu vizuri wapi kuna red line na kwa kufanya hivyo anacheza pembeni pembeni bila kukatiza.
Kwa amri ya mahakama...
Mkuu husomi habari iliyoandikwa hapo...ya amri ya mahakama.e na ya hakimu kutaka akamatwe?Akamatwe kwa kosa gani?
Imuogope kwani ye nani hasa..?
Avunje sheria aone...
Siyo kwamba ilitakiwa wahusika wa RICHMOND, IPTL, ESCROW, LUGUMI nk 'waone' kwa sababu walikiuka na kuvunja sheria? Kwa nini tuwe na matazamio hewa eti Lissu avunje sheria aone wakati wapo wavunja sheria kibao hawaguswi?!Mada zingine muangalie mahali pa kuandika.
Serikali yoyote Duniani huwa haimuogopi yoyote yule akiwa amevunja sheria.
Avunje sheria aone Serikali mnayosema inamuogopa itakapo mshughulikia
Avunje mara ngapi ndio ujue kavunja?Imuogope kwani ye nani hasa..?
Avunje sheria aone...
wanajua vizuri hakuna sheria anayovunja, Bali wanatelekeza maagizo ya mwajiri. Inafika mahali na wao wanachoka kukamata watu wasio na hatiaImuogope kwani ye nani hasa..?
Avunje sheria aone...
HahaaUnaongea na sisi au unaongea na simu?