Serikali inamchekea Askofu Shoo

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Kiongozi wa dini ni mtu muhimu sana katika kuleta amani ya nchi. Nimesoma kupitia mitandao ambapo taarifa inasema:

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesema mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa usipotendeka kwa haki unaweza kusababisha fujo.

Kauli ya Shoo imekuja wakati serikali ikitangaza kuendelea na mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa huku wapinzani wakitangaza kujiondoa kwa kile wanachodai kutotendewa haki.

Askofu Shoo ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini amesema kuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi huo anayo dhamana ya kuhakikisha uwepo wa ushindani sawa.

“Msimamizi mkuu wa uchaguzi anayo dhamana kubwa ya kuhakikisha kunakuwa na `fair play’ (usawa) kwa vyama vyote bila upendeleo.”

“Zoezi hili lisipofanyika kwa haki linaweza kusababisha fujo na uvunjifu wa amani. Wito wangu kwake na wasimamizi wengine wote wasimamie haki,” alisema Askofu Shoo.

Sasa kauli kama hizi ni za kichochezi sana mbona masheikh wametulia.
Askofu siasa zinamuhusu nini?
Tukifanya hayo sisi wa Allah utasikia kelele nyingi.
 
Unamaanisha masheikh au mashehena? Sheikh anaamliwa atii mamlaka na wala c mtu wa siasa ikiwa kiongozi hamzuii kufanya ibada, ushehe sio uanaharakati kazi hizo ni za makhaawarij kama isis, boko haram etc
 
.
.“Zoezi hili lisipofanyika kwa haki linaweza kusababisha fujo na uvunjifu wa amani. Wito wangu kwake na wasimamizi wengine wote wasimamie haki,” alisema Askofu Shoo.

Sasa kauli kama hizi ni za kichochezi sana mbona masheikh wametulia.

Pumbavu zako.
 
Inaonekana unafikiria kutumia tumbo. Umeona barua waliyoandika baraza la maaskofu wa kanisa katoliki nchini Uganda wakikemea vitendo katili vya serikali dhidi ya raia wake?
 
Back
Top Bottom