Serikali inajenga miundombinu DSM tu? Kuna SGR, Chalinze Highway, Ubungo, Tazara!

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Naona kuna mrundikano wa miradi jijini Dar es salaam kama vile mikoa mingine haina uhitaji wa maendeleo na miundombinu

-ujenzi wa barabara za ghorofa ubungo

-ujenzi wa barabara za ghorofa Tazara

-Daraja la kigamboni

-SGR imeanzia DSM

-pembeni ya SGR kuna barabara kubwa kabisa itajengwa nadhani inaitwa Chalinze Expressway

-Daraja la kupita kule sijui Coco beach likivuka bahari, amabalo mimi sioni umuhimu wake

-Mwendokasi awamu ya kwanza

-mwendokasi ujenzi awamu ya pili

-mwendokasi ujenzi awamu ya tatu

Gesi inatolewa mtwara mpaka ubungo na kinyerezi izalishe umeme japo hiyo mitambo ingejengwa huko mtwara umeme ungezalishwa vile vile

Hatuoni uzinduzi wala mipango ya kujenga miundombinu na kupanua majiji mengine ya Mwanza,Arusha na Mbeya,Tanga

Huu si mgawanyo sawa wa raslimali za Taifa


Kodi zinalipwa na watanzania wote,
 
Naona kuna mrundikano wa miradi jijini Dar es salaam kama vile mikoa mingine haina uhitaji wa maendeleo na miundombinu

-ujenzi wa barabara za ghorofa ubungo

-ujenzi wa barabara za ghorofa Tazara

-Daraja la kigamboni

-SGR imeanzia DSM

-pembeni ya SGR kuna barabara kubwa kabisa itajengwa nadhani inaitwa Chalinze Expressway

-Daraja la kupita kule sijui Coco beach likivuka bahari, amabalo mimi sioni umuhimu wake

-Mwendokasi awamu ya kwanza

-mwendokasi ujenzi awamu ya pili

-mwendokasi ujenzi awamu ya tatu

Gesi inatolewa mtwara mpaka ubungo na kinyerezi izalishe umeme japo hiyo mitambo ingejengwa huko mtwara umeme ungezalishwa vile vile

Hatuoni uzinduzi wala mipango ya kujenga miundombinu na kupanua majiji mengine ya Mwanza,Arusha na Mbeya,Tanga

Huu si mgawanyo sawa wa raslimali za Taifa


Kodi zinalipwa na watanzania wote,
Usilinganishe haki ya wake wawili na huduma zao, maendeleo yanaenda na uhitaji wa miundo mbinu siyo kwamba hizo flyover ni kwaajiri ya show ya jiji.
 
Naona kuna mrundikano wa miradi jijini Dar es salaam kama vile mikoa mingine haina uhitaji wa maendeleo na miundombinu

-ujenzi wa barabara za ghorofa ubungo

-ujenzi wa barabara za ghorofa Tazara

-Daraja la kigamboni

-SGR imeanzia DSM

-pembeni ya SGR kuna barabara kubwa kabisa itajengwa nadhani inaitwa Chalinze Expressway

-Daraja la kupita kule sijui Coco beach likivuka bahari, amabalo mimi sioni umuhimu wake

-Mwendokasi awamu ya kwanza

-mwendokasi ujenzi awamu ya pili

-mwendokasi ujenzi awamu ya tatu

Gesi inatolewa mtwara mpaka ubungo na kinyerezi izalishe umeme japo hiyo mitambo ingejengwa huko mtwara umeme ungezalishwa vile vile

Hatuoni uzinduzi wala mipango ya kujenga miundombinu na kupanua majiji mengine ya Mwanza,Arusha na Mbeya,Tanga

Huu si mgawanyo sawa wa raslimali za Taifa


Kodi zinalipwa na watanzania wote,
80% ya kodi zote nchini zatoka Da es salaam.
 
Dar Es Salaam ndio Tanzania.

Wabunge wote bunge likiisha wanahamia Dar...

Serikali imehamia Dodoma lakini wenye serikali wako Dar...

Ndio maana wajanja tunabanana hapahapa mpaka kieleweke...
Halafu utasikia viongozi wanalalamika eti kwa nini vijana wanajaa jijini,kumbe wanafata mahala serikali inawekeza,nani apigwe vumbi namtumbo wakati keki ya nchi mgawaji havuki kibaha
 
Halafu utasikia viongozi wanalalamika eti kwa nini vijana wanajaa jijini,kumbe wanafata mahala serikali inawekeza,nani apigwe vumbi namtumbo wakati keki ya nchi mgawaji havuki kibaha
Wanatuambia tunajaa mjini wakati wao wakistaafu bado tunabanana nao hapahapa mjini.

Fursa iko mjini nasi hatutoki ng'oo!!
 
Naona kuna mrundikano wa miradi jijini Dar es salaam kama vile mikoa mingine haina uhitaji wa maendeleo na miundombinu

-ujenzi wa barabara za ghorofa ubungo

-ujenzi wa barabara za ghorofa Tazara

-Daraja la kigamboni

-SGR imeanzia DSM

-pembeni ya SGR kuna barabara kubwa kabisa itajengwa nadhani inaitwa Chalinze Expressway

-Daraja la kupita kule sijui Coco beach likivuka bahari, amabalo mimi sioni umuhimu wake

-Mwendokasi awamu ya kwanza

-mwendokasi ujenzi awamu ya pili

-mwendokasi ujenzi awamu ya tatu

Gesi inatolewa mtwara mpaka ubungo na kinyerezi izalishe umeme japo hiyo mitambo ingejengwa huko mtwara umeme ungezalishwa vile vile

Hatuoni uzinduzi wala mipango ya kujenga miundombinu na kupanua majiji mengine ya Mwanza,Arusha na Mbeya,Tanga

Huu si mgawanyo sawa wa raslimali za Taifa


Kodi zinalipwa na watanzania wote,
Mbona huulizi kwanini serikali inakusanya kodi kubwa Dar kuliko mkoa wowote. Kama ingekuwa wew ndio mfanya biashara ungejenga mwendo kasi wapi ili upate faida? Acha uboya.
 
Naona kuna mrundikano wa miradi jijini Dar es salaam kama vile mikoa mingine haina uhitaji wa maendeleo na miundombinu

-ujenzi wa barabara za ghorofa ubungo

-ujenzi wa barabara za ghorofa Tazara

-Daraja la kigamboni

-SGR imeanzia DSM

-pembeni ya SGR kuna barabara kubwa kabisa itajengwa nadhani inaitwa Chalinze Expressway

-Daraja la kupita kule sijui Coco beach likivuka bahari, amabalo mimi sioni umuhimu wake

-Mwendokasi awamu ya kwanza

-mwendokasi ujenzi awamu ya pili

-mwendokasi ujenzi awamu ya tatu

Gesi inatolewa mtwara mpaka ubungo na kinyerezi izalishe umeme japo hiyo mitambo ingejengwa huko mtwara umeme ungezalishwa vile vile

Hatuoni uzinduzi wala mipango ya kujenga miundombinu na kupanua majiji mengine ya Mwanza,Arusha na Mbeya,Tanga

Huu si mgawanyo sawa wa raslimali za Taifa


Kodi zinalipwa na watanzania wote,
DSM ndio jiji la biashara hapa kwetu Kwahiyo lazima liboreshwe ili liwe kivutio kwa wageni...
 
Back
Top Bottom