Ipo hivi: unajua mtu mwaka wa kwanza na wapili ulipata allocation yako vizuri, sasa mwaka wa tatu huu unajiandaa kwenda chuo bado siku tatu unakuta ada imepunguzwa na hela za stationery nazo wamechukua, wanatarajia mtu atafanyaje kwa kipindi hiki kifupi hivi.
Na ukiangalia sioni sababu ya kupungua maana kama ni matokeo ni mazuri GPA ipo above 3.5 sasa tuseme hawana hela au ndio nini.
Wanajidai kusema kuwa wanaongeza kutoa mkopo kumbe kwa kupunguza zingine Ili wawape hao wanaoanza, daah! Hii hali sio nzuri, maisha utaona machungu na ukiangalia hamna unapotegemea zaidi ya hiyo boom nayo hata ukisema ulipie ada haitoshi kabisa.
Na ukiangalia sioni sababu ya kupungua maana kama ni matokeo ni mazuri GPA ipo above 3.5 sasa tuseme hawana hela au ndio nini.
Wanajidai kusema kuwa wanaongeza kutoa mkopo kumbe kwa kupunguza zingine Ili wawape hao wanaoanza, daah! Hii hali sio nzuri, maisha utaona machungu na ukiangalia hamna unapotegemea zaidi ya hiyo boom nayo hata ukisema ulipie ada haitoshi kabisa.