- Thread starter
- #21
Sasa hivi inawezekana na yeye labda kapitiwa na huu upepoSasa hivi vipi au bado punguzo linaendelea ?
Sasa hivi inawezekana na yeye labda kapitiwa na huu upepoSasa hivi vipi au bado punguzo linaendelea ?
Kwel kumshukuru Mungu mhim lakin issue ni hii tu mtu miaka miwili walikupa kiasi flani alafu sa hivi wanapunguza tu bila sababu na mtu umepiga zako matokeo yapo vizur kabisa Kama Sup hatujawahi hata ilambajambo la kushukuru kidogo umewekewa .,, ila ni madahaifu ambayo yapo kwa mfumo wetu.. nakumbuka wakati namaliza diploma (ifm) matokeo yametoka na hela za kuomba mikopo tukalipishwa halafu majibu yakaja watu wote tulosoma diploma hakuna mikopo..wenzetu walotutangulia mbele yetu walibahatika na ndio walikuwa wa mwisho kupata mikopo tokea level ya diploma... tuliamua why walituruhusu tuombe na kuomba mkopo ni gharama?? ila tulivuka na tulisoma degree japo kwa nguvu nyingi na kuunga unga haswa sisi watoto wa familia za chini
HESLB ni watu wabaya sana kuwahi tokea hapa duniani.. Watu tumesomeshwa kwa ufadhiri wa serikali kutokana na familia zetu masikini, elimu zetu zote mpaka tunaingia chuo.. Wazeeh wetu wapo hai Ila ni wazeeh/vikongee vithibitisho vyote tumeweke ila mikopo hatujapata hadi leo hii.. Wanataka so tukasome vpi Vila mikopo..?Jamani waambieni HESLB watoto wengi huko UDSM hawajapata mikopo wa first year.
Hapo DUCE dogo haelewi kama atapata
Samahani mkuu.. Hivi kwenye account yako Projection ya mkopo kwa mwaka wako wa mwisho ilionyesha utapata nini na nini?Ipo hivi: unajua mtu mwaka wa kwanza na wapili ulipata allocation yako vizuri, sasa mwaka wa tatu huu unajiandaa kwenda chuo bado siku tatu unakuta ada imepunguzwa na hela za stationery nazo wamechukua, wanatarajia mtu atafanyaje kwa kipindi hiki kifupi hivi.
Na ukiangalia sioni sababu ya kupungua maana kama ni matokeo ni mazuri GPA ipo above 3.5 sasa tuseme hawana hela au ndio nini.
Wanajidai kusema kuwa wanaongeza kutoa mkopo kumbe kwa kupunguza zingine Ili wawape hao wanaoanza, daah! Hii hali sio nzuri, maisha utaona machungu na ukiangalia hamna unapotegemea zaidi ya hiyo boom nayo hata ukisema ulipie ada haitoshi kabisa.
Kwenye Account yangu hawajaweka hayo ni majina ambayo chuo kiliweka kwenye website yaliyotoka HeslbSamahani mkuu.. Hivi kwenye account yako Projection ya mkopo kwa mwaka wako wa mwisho ilionyesha utapata nini na nini?
Sawa mkuuKwenye Account yangu hawajaweka hayo ni majina ambayo chuo kiliweka kwenye website yaliyotoka Heslb
Sorry mwenye uelewa hapa allocation yang kwa batch three inaonesha allocation kwa 2020-2021 kwahyo inamana hyo miaka mingne nitajilipia au inakuajee
Yaaahhivi batch 3 imeshatoka ?