iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,934
Barua ya maombi inaonyesha nimeomba kazi kenya,majibu ya maombi yanasema nimeajiriwa Tanzania
Hii ni kuwachezea shere madaktari ambao hawakupendelea kufanya kazi kenya hasa wenye familia,au walioona hali ya usalama kenya hairidhishi
Pia utaratibu wa ajira wa nchi yetu ndio uko hivyo?
Hii ilianza kwa wale mgambo waliopiga sarakasi vizuri siku ya sherehe fulani ya wanajeshi,ikaamuriwa waajiriwe haraka JWTZ,sasa naona tumezoea
Tume ya Utumishi wa Umma imewekwa benchi
Hii ni kuwachezea shere madaktari ambao hawakupendelea kufanya kazi kenya hasa wenye familia,au walioona hali ya usalama kenya hairidhishi
Pia utaratibu wa ajira wa nchi yetu ndio uko hivyo?
Hii ilianza kwa wale mgambo waliopiga sarakasi vizuri siku ya sherehe fulani ya wanajeshi,ikaamuriwa waajiriwe haraka JWTZ,sasa naona tumezoea
Tume ya Utumishi wa Umma imewekwa benchi