Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Mkuu unaonaje ukikaa kimya ukasoma michango ya wadau? Hapa hakuna kodi mpya, ni kuweka utaratibu mzuri ili kodi zote ziende kwenye mfumo rasmi na sio holela shangwe kama ilivyokuwa. Lipa Kodi Kwa Maendeleo ya Taifa! Tunataka bwawa la JKN likamilike pia SGR!kodi zinazidi kuongezeka
MAendeleo hayana Chama!