jmushi1 Platinum Member Nov 2, 2007 24,990 22,523 Oct 31, 2011 #101 nguvumali said: Asante sana, asante kwakweli ...! Click to expand... You're welcome mkuu,huwa napenda thread zako.Kanyaga twende kamanda.You're playing your part!
nguvumali said: Asante sana, asante kwakweli ...! Click to expand... You're welcome mkuu,huwa napenda thread zako.Kanyaga twende kamanda.You're playing your part!
B Baba Collins JF-Expert Member Sep 24, 2011 502 106 Oct 31, 2011 #102 Kwa kuwa hivi sasa tuna tumia machapisho mawili ya noti ,ngoja tusubiri kwa kuwa rais wetu na serikali yake ni wavivu wa kufikiri,tutasikia noti ya 50000 na 100000.
Kwa kuwa hivi sasa tuna tumia machapisho mawili ya noti ,ngoja tusubiri kwa kuwa rais wetu na serikali yake ni wavivu wa kufikiri,tutasikia noti ya 50000 na 100000.
Anko Sam JF-Expert Member Jun 30, 2010 3,200 820 Oct 31, 2011 #103 nguvumali said: Click to expand... Mbona umezifunga kila bundle lina buku 7 x 16 = 1,120,000/= we ni noma!
nguvumali said: Click to expand... Mbona umezifunga kila bundle lina buku 7 x 16 = 1,120,000/= we ni noma!
R RMA JF-Expert Member Oct 10, 2010 409 87 Nov 1, 2011 #104 Safi kabisa! Tesekeni hadi mtakapoacha ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa! Mnanapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama kama vichaa!
Safi kabisa! Tesekeni hadi mtakapoacha ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa! Mnanapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama kama vichaa!
M MiNasema Member Oct 26, 2011 8 1 Nov 3, 2011 #105 Duh! Leo tupo kwenye 1USD= 1840 TZS..kweli miezi mitatu ijayo tutakuwa hapo!! kazi ipo!