Serikali imelala, miezi 3 ijayo tunaangamia

Kwa kuwa hivi sasa tuna tumia machapisho mawili ya noti ,ngoja tusubiri kwa kuwa rais wetu na serikali yake ni wavivu wa kufikiri,tutasikia noti ya 50000 na 100000.
 
Safi kabisa! Tesekeni hadi mtakapoacha ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa! Mnanapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama kama vichaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…