Acha kulegeza makalio dogo. Pambana ufanye biashara, hizo longolongo hutoboi popote.Haiwezekani kariakoo wachuna wanaishibkama kwao.
Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodinkamanmzawa
Hii ninsawa tu na kusema kariakoo imeuzwa
Wafanya biashara wa kibongo ni wahuni bidhaa ya 12k unauziwa 35k. Risiti hawatoi na hata wakitoa ni za magumashi Acha wachina watupe unafuu ya maisha. Tumechoka na mawinga wa kariakooHaiwezekani Kariakoo wachina wanaishi kama kwao.
Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodi kama mzawa
Hii ni sawa tu na kusema Kariakoo imeuzwa
Kwani lazima wote mkae kufanya umachinga Kariakoo? Kwanini msiende kulima mabonde na misitu yenye rutuba yako ya kumwaga.Haiwezekani Kariakoo wachina wanaishi kama kwao.
Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodi kama mzawa
Hii ni sawa tu na kusema Kariakoo imeuzwa
Wacha wivu, shughulisha akili yako ufanye biashara. Kwani kuna kosa gani wachina kumi kuchangia mtaji wa USD 100,000 unaotakiwa na TIC?Wachina ni janga kubwa sana Serikali inabidi ichukue hatua haraka sana hasa kokote kule kwenye wachina Kariakoo, pale Ubungo jengo kubwa jipya, hawa wachina ni watu hatari sana na wataua uchumi wa nchi yetu na wananchi kupoteza biashara zao..!! Kuna wachina pia walitoka Mombasa wako Dar, wanajenga majengo, ni hatari sana, pia TIC waangalie wawekezaji wa kichina ni wahuni kwani anakuja mmoja ana dollar say $100,000 anajisajili mmoja kama investor kumbe wako wachina 100 ndio wamejichangisha..
Wachina wachukuliwe ni hatari kubwa kama Corona kwa uchumi wa nchi yetu, wachina wote Serikali iwafuatilie, iwe kama janga la Taifa, hasa Kkoo itapotea kabisa na wananchi wetu watapoteza biashara zote.
Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza TuKwani lazima wote mkae kufanya umachinga Kariakoo? Kwanini msiende kulima mabonde na misitu yenye rutuba yako ya kumwaga.
Ila mumeona kukaa Kariakoo na kufanya uwinga ndiyo jambo la maana
Kweli kabisaWafanya biashara wa kibongo ni wahuni bidhaa ya 12k unauziwa 35k. Risiti hawatoi na hata wakitoa ni za magumashi Acha wachina watupe unafuu ya maisha. Tumechoka na mawinga wa kariakoo
Wachina wako kwenye Cartels😁 yani ukimtingisha ana Godfather wake ambaye ana connection ubalozini.Unaambiwa hakuna Mchina asiye na kigogo kwenye kila idara nyeti hivyo hata ukimshtaki anachomoa
Mawinga ndo wanaumia sahizi wala sio wafanyabiashara wenye mitaji mikubwa.Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano alianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanakouza chapati
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo