Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,203
- 3,008
- Thread starter
- #41
So?Mhhh mkuu ajira inahitaji pesa,kumbe kuna walimu wakujitolea,wale wakujitolea inabidi wawe wa kwanza kuajiriwa.
Kama tuko serious na elimu hata elfu 10 ni idadi ndogo haikidhi matakwa ya taifa.Wapo wahitimu walimu zaidi ya laki mmoja wapo mitaani wengine miaka 5.