Serikali imefilisika?

Hivi walimu na nyie wakulilia ajira kweli wakati mna maarifa tosha mnashindwa kugeuza changamoto kuwa fursa,huku mitaani kuna kundi kubwa la vijana ambao kwa namna moja au nyingine walishindwa kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani hasa kidato cha nne na sita kweli mnashindwa kujiunga vikundi mkaomba hata madarasa ya shule zetu za umma mkafundisha vijana ili wasonge mbele zaidi,naimani hamuwezi kosa suport ya serikali na wadau mbalimbali wapo wanaopenda elimu isonge mbele.Walimu waliajiriwa miezi michache tu iliyopita walimu elfu 6 baadae elfu sita tena kama sijakosea.
 
Halafu jiulize mwaka huu ushalipa kodi kias gan? Maana usiongelee serikali kufiliska tu kama vile kuna hela inatoka sayar nyingine
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hivi walimu na nyie wakulilia ajira kweli wakati mna maarifa tosha mnashindwa kugeuza changamoto kuwa fursa,huku mitaani kuna kundi kubwa la vijana ambao kwa namna moja au nyingine walishindwa kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani hasa kidato cha nne na sita kweli mnashindwa kujiunga vikundi mkaomba hata madarasa ya shule zetu za umma mkafundisha vijana ili wasonge mbele zaidi,naimani hamuwezi kosa suport ya serikali na wadau mbalimbali wapo wanaopenda elimu isonge mbele.Walimu waliajiriwa miezi michache tu iliyopita walimu elfu 6 baadae elfu sita tena kama sijakosea.
We materu au kihiyo
 
Wataajiriwa 7000, sawa! Watabk 83,000 upo!

Kama unategemea ajira ya ualimu nasikitika kukuarifu kuwa huenda usiajiriwe milele
 
Hebu subiri hao 7000 waajiriwe kwanza usitupre-empty matumaini hao 3000 ni wachache kuliko watakaoajiriwa if the plan is successful. Then baada ya hapo tutauliza waseme wamefeli au wataajiri, but at least watakuwa wameajiri zaidi ya asilimia 70 ya matarajio which is okay as long wanaendelea kuajiri serikali so ndio hii hii au?
hata mim nimeshabgaa acha kwanza waende hao buku 7.ni weng ogopa sana.hiv unajua bajet ya kuajiri nimkubwa kias kwamba inahitaj umakin.angalia tu bajet ya nyumban kwako ilvo ndio ujue ngumu kias gani kuendesha nchi

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Wataajiriwa 7000, sawa! Watabk 83,000 upo!

Kama unategemea ajira ya ualimu nasikitika kukuarifu kuwa huenda usiajiriwe milele
Acha kukatisha watu tamaa, wanaanza kuajiliwa waliomaliza zamani, mtiririko utaendelea hadi wote, kumbuka kuna watu wanastaafu kila mwaka, wanakufa, wanaacha kazi n.k Kubwa zaidi watz tunajua kuzaliana, simbilisi haoni ndani!! Kila mwaka mwaka ni kujenga madarasa na kamwe hayatatosha, ajira za waalimu zipo za kutosha, ni muda tu
 
Nchi hii inajiongoza yenyewe tu sasa hivi.

Hakuna tamko linafanyiwa kazi. Ni full ngojera tu.
 
Mwaka wa fedha 2021/2022 serikali ilipanga kuongeza watumishi idara ya Elimu ili kuinua kiwango Cha Elimu nchini

Mwezi October Ummy Mwalimu alisema serikali itaajiri walimu elfu 10, kabla ya December, mpaka mwaka unaisha hakuna Mwalimu aliyeajiliwa

Leo Waziri Bashungwa kasema wameomba kibari Cha kuajiri walimu elfu7, yaani kwenye bajeti walisema wataajiri elfu 10,, sahivi wanasema ni elfu 7, tumebaki na miezi 5 kumaliza mwaka wa bajeti.

Unajenga madarasa kwa mkopo, yapatayo elfu15 afu unaajiri walimu elfu7, je serikali haina hela za kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu? Kama hela zipo why wapunguze idadi ya kuajiri from elfu 10 to elfu7?

Ebu tujibu nyie watu wa CCM
Wewe jamaa hata akili huna..kwahiyo madarasa elfu 15 yawe na walimu sawa..manake kila darasa mwalimu mmoja..hopless kabisa.

Halafu hizo ajira hua ni maneno ya kisiasa tu..watasema watumishi elfu 7 ila kiuharisia hata elfu 2 hawafiki.

Zidisha dua.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lengo la serikali kuajiri ni kuondoa tatizo la upungufu wa watumishi na siyo kuhakikisha wahitimu wote wanapata kazi.

Wahitimu watumie elimu na maarifa waliyoyapata ktk masomo yao kujiajiri
Graduates hawawezi kukuelewa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wataajiriwa 7000, sawa! Watabk 83,000 upo!

Kama unategemea ajira ya ualimu nasikitika kukuarifu kuwa huenda usiajiriwe milele
Ukweli mchungu..ila hawataki kusikia..wanasubiri muujiza huku wakiilaumu serikali kila uchwao.

Cha kushangaza zaidi umri unaenda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acha kukatisha watu tamaa, wanaanza kuajiliwa waliomaliza zamani, mtiririko utaendelea hadi wote, kumbuka kuna watu wanastaafu kila mwaka, wanakufa, wanaacha kazi n.k Kubwa zaidi watz tunajua kuzaliana, simbilisi haoni ndani!! Kila mwaka mwaka ni kujenga madarasa na kamwe hayatatosha, ajira za waalimu zipo za kutosha, ni muda tu
Jifariji..hivi wanao graduate wangapi kwa mwaka Vs wanaostaafu na kufariki?

Kiufupi utaishia kulaumu serikali..kama utakaa kusubiri ajira.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wewe jamaa hata akili huna..kwahiyo madarasa elfu 15 yawe na walimu sawa..manake kila darasa mwalimu mmoja..hopless kabisa.

Halafu hizo ajira hua ni maneno ya kisiasa tu..watasema watumishi elfu 7 ila kiuharisia hata elfu 2 hawafiki.

Zidisha dua.

#MaendeleoHayanaChama
Kila darasa lazima liwe na mwalimu katika kila kipindi, Wewe ndio huna akili.
 
Kila darasa lazima liwe na mwalimu katika kila kipindi, Wewe ndio huna akili.
Vipindi vipo vingapi kwa siku..kwa wiki..kwa mwezi..kwa mwaka..

Hujui kuwa kuna walimu wanafundisha masomo zaidi ya mawili na vipindi vinatofautina muda?

Wewe utakua sio mwalimu..na kama ni mwalimu basi ni aibu kwa taaluma kupata kilaza kama wewe.

Watu kama wewe ndio mnafanya elimu ya nchi hii inshuka kila siku.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom