jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,103
- 35,916
Kwahiyo unataka kila mwalimu awe na somo moja..?kitu ambacho ni ngumu kwa nchi hii...au umesahau Ndugai aliwahi kusema mwalimu mmoja afundishe masomo hata matano.- Pathetic! Mwalimu anaweza kufundisha vyumba viwili vya darasa kwa wakati mmoja?
- Kufundisha somo zaidi ya moja hakumfanyi mwalimu afundishe madarasa tofauti kwa wakati mmoja.
#MaendeleoHayanaChama