Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Hao wapya kutoka chama gani?Yaani kama inawezekana wabunge wote wangetupwa nje waingie wapya hiyo 2025
Hao wapya kutoka chama gani?Yaani kama inawezekana wabunge wote wangetupwa nje waingie wapya hiyo 2025
Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaanJamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.
Hauniliki mpaka ukatweNikununua wa buku inakuwaje?
Unamzungumzia Mama wa nani hasa, Mimi sihusikii.Mama yenu ni kama roboti kuna remote ziko wapi sijui
Nasubirii kuona misururu ya watu pale TRA wakitaka malipo yahamishwe kwenye mita za mwenye nyumba. Daaadeki2000 imeenda, ulinunua chini ya 2000 haikubali.
Huyu bibi View attachment 1900540
Hapa umenenaYaani kama inawezekana wabunge wote wangetupwa nje waingie wapya hiyo 2025
Mkuu usiweke mita namba wazi namna hii humu jamviniHali sio shwari mkuuView attachment 1900511
Unajua ukiombea viongozi Ni kama umemuombea dereva vile Sasa hawa wa Sasa hawaeleweki unaweza ombea matokeo yake wanakuja kivingine hadi kero mkuuZamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan
Badala ya kuwaombea maskini na wenye shida mbalimbali wewe ulikuwa unawaombea walioshiba
hahahaha wakaanzisha na mada za kutosha kabisa za kupinga wao si wanyonge.Si mlikataa kuitwa wanyonge
Kwani ukikodisha nyumba si inakuwa yako mapaka mkataba uishe?
Kwani ukikodisha nyumba si inakuwa yako mapaka mkataba uishe?
Nadhani wamekata July na August.Jamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.
Hujaweka ushahidi.Jamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.