Lakini wakati huo huo Tundu Lisu anawaeleza ukweli kuwa kuandaa Benkiya kutoa mikopo kwa vijana
ni lugha ya kutongozea KURA 2015,Watz wengine wanamwona kama asiyewajali vijana.
Je nani anayewapenda vijana kwa yule anayesema ukweli au anayejipendekeza kwa kudanganya
na wakati akijua jambo hilo ni danganya toto na siku iishe a sign posho yake pale Dodoma.
Kama ni hivyo mbona Halmashauri ndio mhimili wa maendeleo ya jamii kila kona ya Nchi,fedha
hakuna,Je hizo za akina KINGWALANGWALA zitatoka wapi?
Wewe Kingwaangwala hata Wazee wa iliyokuwa EA sijui walilipwa fedha zao mpaka leo
serikali imekula fedha zao hadi wameona wakimbilie CDM.
Mikopo wa Vyuo vikuu wanafunzi wamekata tamaa na wakati huo hii mikopo inarudishwa
huu usanii hamtampata kijana wa Kitanzania atakayeingia kwenye mtego huo wa kitapeli tena.
Halmashauri nyingi zina madeni ya wajasiliamali waliozifanyia kazi tooeni fedha
Hazina ili zilipie madeni hayo kabla ya kuleta usanii wenu Bungeni.
ni lugha ya kutongozea KURA 2015,Watz wengine wanamwona kama asiyewajali vijana.
Je nani anayewapenda vijana kwa yule anayesema ukweli au anayejipendekeza kwa kudanganya
na wakati akijua jambo hilo ni danganya toto na siku iishe a sign posho yake pale Dodoma.
Kama ni hivyo mbona Halmashauri ndio mhimili wa maendeleo ya jamii kila kona ya Nchi,fedha
hakuna,Je hizo za akina KINGWALANGWALA zitatoka wapi?
Wewe Kingwaangwala hata Wazee wa iliyokuwa EA sijui walilipwa fedha zao mpaka leo
serikali imekula fedha zao hadi wameona wakimbilie CDM.
Mikopo wa Vyuo vikuu wanafunzi wamekata tamaa na wakati huo hii mikopo inarudishwa
huu usanii hamtampata kijana wa Kitanzania atakayeingia kwenye mtego huo wa kitapeli tena.
Halmashauri nyingi zina madeni ya wajasiliamali waliozifanyia kazi tooeni fedha
Hazina ili zilipie madeni hayo kabla ya kuleta usanii wenu Bungeni.