Liberty hailazimishwi kwa mtu.. ni haki ya kila binadamu..
Humuwezi kumlazimisha Mtu kushiriki sensa inayoficha ukweli kwa maslahi ya watu fulani. Maadam serikali imerudisha mfumo wa kikoloni ktk ELIMU na AFYA waislaam hawawezi kufanya makosa yale yale tuloyafanya kabla ya Uhuru. Tulitawaliwa miaka 300 lakini hadi 1961 tulikuw ana madaktari wawili na engineer wasiozidi watano.
- Haitarudiwa tena..
Humuwezi kumlazimisha Mtu kushiriki sensa inayoficha ukweli kwa maslahi ya watu fulani. Maadam serikali imerudisha mfumo wa kikoloni ktk ELIMU na AFYA waislaam hawawezi kufanya makosa yale yale tuloyafanya kabla ya Uhuru. Tulitawaliwa miaka 300 lakini hadi 1961 tulikuw ana madaktari wawili na engineer wasiozidi watano.
- Haitarudiwa tena..