Nimekuwa nikifuatilia serikali hata wakati wa Magufuli . Tatizo moja ni serikali ya Tanzania imejiaminisha kwamba wana support ya 100% ya Watanzania.
Tatizo ni moja tu huwezi kuyeyusha 30%-40% ambayo hao CCM wamesema wapinzani wamepata kura.
Yaani pamoja wa wizi wote wa 2020 hakuna mtu anabisha kura za wapinzani ni zaidi ya 30%. Sasa kama hata hii ni kweli huwezi kusema 30% hawana cha kuongea na ndiyo maana kuna matatizo mengi ya siasa. Pamoja na kwamba CCM imewazidi k
idogo Chadema Watanzania wengi ambao hawana chama hawapendi uonevu na si kweli kwamba wote wanaipenda Chadema.
Hivyo CCM badala ya kujidanganya wajiulize inakuwaje kwa wakati mgumu hivi Chadema wameweza kufikisha wanachama 10M tena wakujiandikisha kabisa! hili ni suala la kujiuliza sana.
Tatizo la binadamu wanabadilika hebu tuangalie mikutano imekatazwa angalieni mitandao inavyoendelea, angalieni kukuwa kwa TV online na kesi kama za Mbowe zinavyofuatiliwa.
Mikutano ya mitandao inafikisha mpaka watu 6,000 live! hili sio suala dogo.
Naunga mkono Rais kukutana na Lissu na umakini mkubwa Samia awe nao kwa wapambe wake.
Hizi ndiyo estimate
CCM : 14,000,000 au 43%
Chadema : 12,000,000 au 37%
Swing voters: 6,500,000 au 20%
Jumla ya wapiga kura 32,500,000
Tatizo ni moja tu huwezi kuyeyusha 30%-40% ambayo hao CCM wamesema wapinzani wamepata kura.
Yaani pamoja wa wizi wote wa 2020 hakuna mtu anabisha kura za wapinzani ni zaidi ya 30%. Sasa kama hata hii ni kweli huwezi kusema 30% hawana cha kuongea na ndiyo maana kuna matatizo mengi ya siasa. Pamoja na kwamba CCM imewazidi k
idogo Chadema Watanzania wengi ambao hawana chama hawapendi uonevu na si kweli kwamba wote wanaipenda Chadema.
Hivyo CCM badala ya kujidanganya wajiulize inakuwaje kwa wakati mgumu hivi Chadema wameweza kufikisha wanachama 10M tena wakujiandikisha kabisa! hili ni suala la kujiuliza sana.
Tatizo la binadamu wanabadilika hebu tuangalie mikutano imekatazwa angalieni mitandao inavyoendelea, angalieni kukuwa kwa TV online na kesi kama za Mbowe zinavyofuatiliwa.
Mikutano ya mitandao inafikisha mpaka watu 6,000 live! hili sio suala dogo.
Naunga mkono Rais kukutana na Lissu na umakini mkubwa Samia awe nao kwa wapambe wake.
Hizi ndiyo estimate
CCM : 14,000,000 au 43%
Chadema : 12,000,000 au 37%
Swing voters: 6,500,000 au 20%
Jumla ya wapiga kura 32,500,000