sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Nimesikiliza idhaa ya Kiswahili ya BBC asubuhi hii nikasikia wakazi wa Buguruni DSM wakilalamika kuwa wanatoa pesa lakini serikali haifanyi usafi kwenye mitaro.
Maswali ya kujiuliza;
Kazi ya wananchi ni kuchafua hiyo mitaro kwa kutupa taka ovyo, kutiririsha kinyesi, n.k. ili serikali ikasafishe?
Mlipuko wa magonjwa ukija serikali ndiyo inapata athari kiafya?
Je, jukumu la usafi ni la serikali ama wananchi?
Kama wananchi wanatoa michango ili mitaro wanayoichafua isafishwe na serikali, basi serikali itoe kiasi hicho hicho wanachotoa wananchi, iwape wajifanyie usafi wenyewe katika hiyo mitaro yao.
Karibu kwa mjadala.
Maswali ya kujiuliza;
Kazi ya wananchi ni kuchafua hiyo mitaro kwa kutupa taka ovyo, kutiririsha kinyesi, n.k. ili serikali ikasafishe?
Mlipuko wa magonjwa ukija serikali ndiyo inapata athari kiafya?
Je, jukumu la usafi ni la serikali ama wananchi?
Kama wananchi wanatoa michango ili mitaro wanayoichafua isafishwe na serikali, basi serikali itoe kiasi hicho hicho wanachotoa wananchi, iwape wajifanyie usafi wenyewe katika hiyo mitaro yao.
Karibu kwa mjadala.