Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,313
- 10,017
Kwa ajili ya maendeleo ya soka la nchi hii na kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za kukuza soka la nchi hii
Nashawishika kuamini kwamba serikali haitimizi wajibu wake Kwa soka la Mbeya.
Pamoja na ishara zote kuonesha kwamba Mkoa wa Mbeya ndio mkoa namba moja kwa kuwa na wapenzi wengi wa soka lakini hakuna cha maana serikali kuu inafanya.
Inashangaza kuona bado hakuna mipango yoyote ya maana ya kujenga uwanja wa maana ili vichaa wa soka pale Mbeya waone serikali ina jali.
Leo hii Mbeya ni ya kuutegemea uwanja wa Sokoine? Serikali iache mzaha Mbeya wanahitaj Uwanja mkubwa wa kisasa
Nashawishika kuamini kwamba serikali haitimizi wajibu wake Kwa soka la Mbeya.
Pamoja na ishara zote kuonesha kwamba Mkoa wa Mbeya ndio mkoa namba moja kwa kuwa na wapenzi wengi wa soka lakini hakuna cha maana serikali kuu inafanya.
Inashangaza kuona bado hakuna mipango yoyote ya maana ya kujenga uwanja wa maana ili vichaa wa soka pale Mbeya waone serikali ina jali.
Leo hii Mbeya ni ya kuutegemea uwanja wa Sokoine? Serikali iache mzaha Mbeya wanahitaj Uwanja mkubwa wa kisasa