MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 130
- 263
Habari za usiku Wana Jf hope wote ni wazima poleni na majukumu ya kujitafutia riziki,
Niende kwenye lengo la Uzi,
Napenda kushauri serikali yangu na wadau mbalimbali kuwa ni Wakati sasa sahihi kuanzishwe na somo la mahusiano na mapenzi katika mfumo wetu wa elimu, kuanzia level ya primary hadi vyuo vikuu, tena somo hili litiwe mkazo mkubwa sana na liwe somo la lazima.
Kwanini nasema hivi Wana jukwaa
Kwasasa Jamii ya TANZANIA inapita katika mkwamo mkubwa katika eneo hili la mapenzi na mahusiano, vijana wengi walio opo vyuo vikuu wanasumbuliwa na mapenzi, wafanyakazi maofisin kuanzia walimu, madaktari na kadharika wanakubwa na mateso makubwa katika eneo la mahusiano na mapenzi, wenye ndoa na wasio na ndoa Yan kiufup hili suala limekuwa ni janga,
Afya za vijana Wengi sana hasa afya akili zinadhoofika Kila siku moja ya chanzo ni mahusiano na mapenzi, vijana Wana ingia kwenye matumizi ya dawa za kulevya wengine pombe, wengine wanaacha masomo, wengine wanafikia hatua ya kuuaana, moja ya SABABU ni mapenzi.
Ombi langu serikali itazame hili suala kwa upana mkubwa ili tuokoea taifa letu na vijana wetu katika janga Hili,
Na silaha kubwa ni kuanzishwe somo la mapenzi na mahusiano kwan mapenzi na mahusiano yanagusa sehemu kubwa sana na ni topic ndefu mno. Vijana wajua how to handle heart break na vitu kama hivyo.
Samahani wakuu mm sio mzuri kwenye uandishi mtanisamehe,
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa
@ mwalimu daima
Niende kwenye lengo la Uzi,
Napenda kushauri serikali yangu na wadau mbalimbali kuwa ni Wakati sasa sahihi kuanzishwe na somo la mahusiano na mapenzi katika mfumo wetu wa elimu, kuanzia level ya primary hadi vyuo vikuu, tena somo hili litiwe mkazo mkubwa sana na liwe somo la lazima.
Kwanini nasema hivi Wana jukwaa
Kwasasa Jamii ya TANZANIA inapita katika mkwamo mkubwa katika eneo hili la mapenzi na mahusiano, vijana wengi walio opo vyuo vikuu wanasumbuliwa na mapenzi, wafanyakazi maofisin kuanzia walimu, madaktari na kadharika wanakubwa na mateso makubwa katika eneo la mahusiano na mapenzi, wenye ndoa na wasio na ndoa Yan kiufup hili suala limekuwa ni janga,
Afya za vijana Wengi sana hasa afya akili zinadhoofika Kila siku moja ya chanzo ni mahusiano na mapenzi, vijana Wana ingia kwenye matumizi ya dawa za kulevya wengine pombe, wengine wanaacha masomo, wengine wanafikia hatua ya kuuaana, moja ya SABABU ni mapenzi.
Ombi langu serikali itazame hili suala kwa upana mkubwa ili tuokoea taifa letu na vijana wetu katika janga Hili,
Na silaha kubwa ni kuanzishwe somo la mapenzi na mahusiano kwan mapenzi na mahusiano yanagusa sehemu kubwa sana na ni topic ndefu mno. Vijana wajua how to handle heart break na vitu kama hivyo.
Samahani wakuu mm sio mzuri kwenye uandishi mtanisamehe,
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa
@ mwalimu daima