ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
ifike wakati utaratibu wa kuapata wakurugenzi ubadilike hii habari ya mwenyekiti wa chama anawateuwa ndio madhara yake....
Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Hawa wakurugenzi ni chanzo cha machafuko, wao wakubali tu pale anaposhinda yeyote
Kweli chumvi ni kiungo safi sana na ni muhimu mno kwa chakula cha kawaida. Lakini chumvi ikiharibika itiwe nini ili iweze kurudia ubora wake unaotakiwa??? Ni serikali gani ambayo inakubali maamuzi yake tu na kugandamiza maamuzi ya uma wakati uohuo inasisitiza kufuata demokrasia ya wengi wape? Walishatangaza kwamba Wilaya yote ya Ilala ni CCM tu wameshinda viti vya serikali za mitaa. Kumbe wakasahau kwamba wananchi wa leo ni tofauti na wale wa Enzi za "ZIDUMU FIKRA ZA MTU MMOJA" Wamechakachua mahali pengi ndio maana wanaweweseka, lakini ccm ijue kila kitu kina kikomo. Vuvuzela anakoroma na kutoa povu kila mahali huku akijua ccm ni wezi waliobobea. Muulizeni Zuma Afrika kusini joto la mwili lilikuwa ngapi alipoambiwa bungeni waziwazai na mmama mmoja kuwa "President Zuma is an international Criminal, and a big Thief". CCM wajipange kurekebisha mambo na sio kulazimisha. Serikali za mitaa ndiko kwenye kila sababu ya kuhitaji viongozi wanaokubalika sana na wananchi wa maeneo hayo ili maendeleo yaje. Kuchomekeana ndiko kunakodhoofisha maendeleo. Wiki mbili tu baada ya kuapisha, tayari wenyeviti waliochomekwa na ccm wameanza kuuza viwanja na mashamba ya watu, wameweka sharia zao za kukandamiza wapinzani wao na watu ambao wanahisiwa hawakuwapa kura zao. kila mahali tyunayasikia hayo. CCM ndiyo itakayozalisha uharibifu wa amani nchini.Bila idhini ya mamlaka halali?
Hawa wakurugenzi ni chanzo cha machafuko, wao wakubali tu pale anaposhinda yeyote
Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Nenda Msalani ukajisidieHuu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Bila idhini ya mamlaka halali?
Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Bila idhini ya mamlaka halali?
Mamlaka halali ndo mama yako badala ya wananchi waliomchagua. AU siyo?
Kama ndivyo kwanini Mkurugenzi asimuapishe? Vurugu analeta Mkurugenzi mwenyewe kwa maelekezo kutoka anakojua yeye. Haiwezekani tangia tarehe 14/12/2014 serikali ya mtaa haijaanza kazi wakati kashachaguliwa. Naomba uwashauri hao unaowatetea waache kuatarisha amani ya nchi hii.Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.