Huu uhuni wa kuapishana kinyemela inabidi ukemewe kwa nguvu zote utaipeleka nchi kwenye machafuko.
Tamko hili ungeligeuzia kwa mkurugenzi anayecheza mchezo wa kitoto wakati wapiga kura wanajua waliye mchagua ndiye anatakiwa kuwatumikia. Tena ungemwambia atasababisha machafuko yatakayo toa fundisho kwa nchi nzima kiasi kwamba siku zijazo kila jimbo litajiandaa kuapisha washindi wao bila kuwashirikisha wakurugenzi