Black7
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 367
- 115
Em jarbu kufikili vizuri.. mfano mm nmemalizia dar then nmepelekwa Kagera, na rafki zng mmoja kapangiwa Mtwara mwingine Kilimanjaro.. iv kuna maana gani ya kutupelek kanda za mbali na kuwaleta huku haaooo wa huko?? Kwan wangepanga kla watu ktk kanda zao au za jirani zaidi kingepunguka nn?? Ni wapuuz hao wanaopanga. Nchi ynyw maskin na bado tunapeana gharama zngne. Wajinga wa akili waliopangaMmezoea kulalamika.
Kuna mtu mmoja alisema, nitamnukuu "Watu wote wenye kupenda kulalamika, ni watu ambao hawafanikiwi maishani mwao, maana wao wanaona vitu kwa upande wa matatizo tu - ndio maana hautakaa uone tajiri analalamika"
Hivi watoto wote wakiomba uhamisho wa kuhama shule walizopangiwa kwenda nyingine, nani atasoma kule wanakohama?