Serikali fungulieni mtandao wa X

Serikali fungulieni mtandao wa X

Hata nyie mmeshaona hamuwezi kuishi bila twita, rais anatumia, taasisi za serikali zinatumia, viongozi wanatumia. Sasa mnafungia ili iweje? Me naona kama hii Tanzania kweli huko mbinguni ni channel ya vichekesho!
Tukiacha kulalamika kuhusu sisi kutekwa na kuuawa wataufungua.
 
Hata nyie mmeshaona hamuwezi kuishi bila twita, rais anatumia, taasisi za serikali zinatumia, viongozi wanatumia. Sasa mnafungia ili iweje? Me naona kama hii Tanzania kweli huko mbinguni ni channel ya vichekesho!
Imebidi ni deactivate acc kwa muda.
 
Back
Top Bottom