Serikali funga kampuni ya tigo

Tigo kwanza huko mtaani ni tusi zito!! lol, usilogwe kupata dili la kuanzia milion moja tu ukatoa business card yenye namba ya tigo ujue dili imekufa, au kwenye maombi ya kazi makampuni makubwa unaacha contact zako za tigo ujue wameshakuona haupo serious hauitwi ng'oo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom