egbert44
JF-Expert Member
- Mar 17, 2006
- 381
- 57
Tigo kwanza huko mtaani ni tusi zito!! lol, usilogwe kupata dili la kuanzia milion moja tu ukatoa business card yenye namba ya tigo ujue dili imekufa, au kwenye maombi ya kazi makampuni makubwa unaacha contact zako za tigo ujue wameshakuona haupo serious hauitwi ng'oo