Serikali endeleeni kumchekea Zumaridi mpaka atakapoleta madhara

Serikali endeleeni kumchekea Zumaridi mpaka atakapoleta madhara

Kama unamkataa Zumaridi kuwa sio Mungu.
Basi najua unamjua Mungu halisi.

Achana na vitabu, wewe kwa akili yako unamjua Mungu ?
Kama unamjua tutajie hapa, kama humjui basi Zumaridi kajitambulisha kuwa ndie mungu.
Wewe huna mamlaka ya kumkataa unless otherwise unamjua Mungu halisi.
Watu wamekariri mavitabu yao na kutaka kulazimisha kila mtu aabudu miungu ya kwenye vitabu vyao.

Wanakwmabia Zumaridi kichaa, ukuchaa wake ni upi hawasemi.

Mungu kwenye biblia aliruhusu rutu ato.mbe watoto wake na kuwazalisha, akaruhusu wana wa Israel wakivamia mji, wateke wanawake wazuri na kwenda kuwato.mba na kuua wanaume zao. Huyo na zumaridi nani kichaa?

Kwenye quran ndio balaa, mungu wa huko anaruhusu watu kubaka watoto, kubaka wanawake, kupiga wanawake, kuua watu hovyo, huyu ndio kichaa balaa.

Zumaridi ni Mungu.
 
Kama unamkataa Zumaridi kuwa sio Mungu.
Basi najua unamjua Mungu halisi.

Achana na vitabu, wewe kwa akili yako unamjua Mungu ?
Kama unamjua tutajie hapa, kama humjui basi Zumaridi kajitambulisha kuwa ndie mungu.
Wewe huna mamlaka ya kumkataa unless otherwise unamjua Mungu halisi.
Nani aliyekataa zumaridi siyo mungu? Hujawahi elewa atheism wanacho claim hujawahi kuelewa kabisa.
Kukusaidia msome augustine na kitabu chake cha confession, msome thomas paine na kitabu chake the age of reason, kamsome richard dawkins na kitabu chake cha the god delusion, kamsome rebecca goldstein 36 argument for the existence of god, kasome mortality kitabu kilichoandikwa na christopher hitchens.

Hivi unaelewa atheist wanacho claim?
 
Watu wamekariri mavitabu yao na kutaka kulazimisha kila mtu aabudu miungu ya kwenye vitabu vyao.

Wanakwmabia Zumaridi kichaa, ukuchaa wake ni upi hawasemi.

Mungu kwenye biblia aliruhusu rutu ato.mbe watoto wake na kuwazalisha, akaruhusu wana wa Israel wakivamia mji, wateke wanawake wazuri na kwenda kuwato.mba na kuua wanaume zao. Huyo na zumaridi nani kichaa?

Kwenye quran ndio balaa, mungu wa huko anaruhusu watu kubaka watoto, kubaka wanawake, kupiga wanawake, kuua watu hovyo, huyu ndio kichaa balaa.

Zumaridi ni Mungu.

Hili nalo linathibitisha mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote, na nguvu zote hayupo. Angekuwepo asingeruhusu hayo maovu yote yatokee

Mungu huyo ni wa kutungwa tu
 

Zumaridi huenda ana watu wanaomlinda serikalini kwa maana haiwezekani amefikia hatua ya kuwakusanya watoto na anawapumbaza mchana kweupe na Mamlaka inamchekea tu.
Sioni kosa la mungu Zumaridi., labda wewe unakereka kwa sababu una mungu wako pia. Miungu iko mingi sana duniani. Iko zaidi ya elfu 5 na Zumaridi ni mmoja wapo.

Cha muhimu amini mungu wako wewe ndiye wa kweli na wengine wote wa uongo.

Kwa hao watoto kama amewalazimisha ni kosa ila kama anawahubiria au wameenda wenyewe hamna kosa hiyo ni sawa tu na dini za kuja zinavyotafuta wafuasi mitaani
 

Zumaridi huenda ana watu wanaomlinda serikalini kwa maana haiwezekani amefikia hatua ya kuwakusanya watoto na anawapumbaza mchana kweupe na Mamlaka inamchekea tu.

Zumaridi huenda ana watu wanaomlinda serikalini kwa maana haiwezekani amefikia hatua ya kuwakusanya watoto na anawapumbaza mchana kweupe na Mamlaka inamchekea tu.
Kwani unataka serikali ifanye nini hapo?

Kakosea nini Zumaridi!?
 

Zumaridi huenda ana watu wanaomlinda serikalini kwa maana haiwezekani amefikia hatua ya kuwakusanya watoto na anawapumbaza mchana kweupe na Mamlaka inamchekea tu.
Broda mbona mkimkamata kibaka mnamalizana nae. Acheni kulialia kila kitu bana hakuna mjomba wa kuja kusaidia mengine mnamaliza wenyewe.
 
Serikali inachekea wengi huyu mmoja wapo na wachochezi wafujo Tz serikali inawakalia kimyaa tu, hapo tu mimi ndio wananikwaza. Kila uhuru kuwe na red line.
Zumaridi hajaingilia uhuru wa mtu, wala hajakashfu dini ya mtu.

Kwanini unamjumuisha kwenye list ya wachochezi!?
 
Kwanza huenda ukawa huelewi atheism wanacho claim tafuta post ya mtu yoyote anayesema tunapinga uwepo wa mungu sababu hatumuoni kwa macho. Ukiona ilete.

Nishamuona mungu beyonce sifa zake na haziji contradict na uwepo wake.
Mungu zumaridi kaongea yeye ni mungu pasi na kutupa vigezo kwanini yeye anajiita mungu.

Mungu wa vitabu vya dini ni mungu wakutungwa sababu sifa zake zinajicontadict zenyewe.
Elewa atheism ni nini na wanapinga nini
Atheism hawatakuwa na shida na huyo Zumaridi,
Kwasababu Mungu Zumaridi yupo, ispokuwa hawawezi kumuamini uwezo wake mpaka athibitishe.

Shida kubwa ya atheism ni huyu Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ambae anadaiwa kaumba mbingu na ardhi.
 
Atheism hawatakuwa na shida na huyo Zumaridi,
Kwasababu Mungu Zumaridi yupo, ispokuwa hawawezi kumuamini uwezo wake mpaka athibitishe.

Shida kubwa ya atheism ni huyu Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ambae anadaiwa kaumba mbingu na ardhi.

Na ndicho nilichokuwa ninamwambia afadhali umenielewa embu jaribu kumuelewesha mana sidhani kama alishawahi kuelewa concept nzimaa ya atheism
 
Mbona kila siku watoto wanaharibiwa fikra huko makanisani kuwa eti mtu aitwaye Yesu ndio Mungu
Bora Zumaridi ambae wakimuamini watakuwa wamethibitisha wanachoambiwa, hao miungu walioko somewhere kwenye mawingu hapana kwa kweli.

Kama Zumaridi kajionesha mwenyew na anajihubiri, kwanini huyo wa kwenye mawingu hafanyi hivyo katungiwa vitabu tu na anatuma watu?
 
Sioni kosa la mungu Zumaridi., labda wewe unakereka kwa sababu una mungu wako pia. Miungu iko mingi sana duniani. Iko zaidi ya elfu 5 na Zumaridi ni mmoja wapo.

Cha muhimu amini mungu wako wewe ndiye wa kweli na wengine wote wa uongo.

Kwa hao watoto kama amewalazimisha ni kosa ila kama anawahubiria au wameenda wenyewe hamna kosa hiyo ni sawa tu na dini za kuja zinavyotafuta wafuasi mitaani
_20230704_052719.JPG
 
Zumaridi anataka kutusahaulisha na mambo ya DP world...hahahah hatupo tayari kwa hilo hata kama ni mungu chini ya jua
 
Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hizi hoja za DP lazima zijibiwe... Naona wamekosa hoja wanatuleta kina Steve kujibu hoja teh teh.. Hivi walioko kwenye uongozi wanadhani watatu toa kwenye mada tujali utopolo wa Steve... Si tutaenda mahakamani hadi vifungu vieleweke.. Na ilibidi mtaani spika na wote wanahusika watoke madarakani... Msitubore hapa...

Zumaridi Hana la kujadiliwa hapa na sio kazi ya serikali ni kazi yako wewe na familia yako kumjua Sana MUNGU wa kweli ili wapuuzi kama hawa watakapokuja mnapishana nao tu... Wasikupotezee muda
 
Bora Zumaridi ambae wakimuamini watakuwa wamethibitisha wanachoambiwa, hao miungu walioko somewhere kwenye mawingu hapana kwa kweli.

Kama Zumaridi kajionesha mwenyew na anajihubiri, kwanini huyo wa kwenye mawingu hafanyi hivyo katungiwa vitabu tu na anatuma watu?
Kweli bro .....ila Mungu wa kweli ni Allah tu.
 

Zumaridi huenda ana watu wanaomlinda serikalini kwa maana haiwezekani amefikia hatua ya kuwakusanya watoto na anawapumbaza mchana kweupe na Mamlaka inamchekea tu.
Usiingilie. Waache wangese wafanye wanavyotaka.
Hii nadhani ni kama guru yoga. Muamini Mungu,pia niamini mimi.(Unakumbuka yale maneno ya Yesu)
 
Back
Top Bottom