Serikali 3 na gharama zake

Serikali 3 na gharama zake

Mchambuzi,
Kifupi mkuu wangu, Ushirikiano wa Kiuchumi unakuwepo tokana na kila nchi kuwa Huru, kila nchi ina sovereignty yake wakati tunachozungumzia hapa ni nchi washirika kuwa jamii moja (soveregn) na kiti chao UN kama Taifa. Nchi washiriki zinakuwa na semi sovereign na ndio maana Siasa lazima iwe chanzo cha ushirika huo kutokana na watu wake kuwa na historia ya Utamaduni wao (common in culture and so forth). Kiuchumi haihitaji historia ya watu bali ushirika kutokana na mahitaji (consume) ya watu wa pande mbili.
 
Majibu haya ungempa Mchambuzi ambaye anasema lazima ianze na Uchumi, sasa wewe umedhihirisha kwamba SADC ilikuwa Political kwanza na sasa ni uchumi. Hivyo unapingana na mwenzako usielekeze swala kwangu.

Ya Amerika na miaka 200 haipotezi maana, kama neno Siasa na Uchumi lilikuwepo miaka 200 ilopita halina maana nyingine leo. Nchi za Ulaya zilipata Uhuru miaka 200 ilopita na baadhi wakaungana kisiasa miaka hiyo hiyo, lakini wamekuja ungana kiuchumi na mataifa mengine karne hii. Mnachanganyikiwa sana nyie, wala sijui mnachotaka kusema ni kipi hapa.

Labda niwaulizeni nyie, haya ya EU kuiwekea vikwazo Russia ni Siasa ama ni katika mbinu za Kiuchumi?
Mkandara, kuwa mwelewa. Sadc ilikuwa ni Kamati ya ukombozi, tena dhidi bwana mkubwa na key player wa sasa wa sadc, RSA.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nje ya chaki, ila hapo kwenye nyekundu....

Muungano kati ya England na Scotland, Ireland na Wales ulikuwa based on economic foundation? Tuelezee how.
Je muungano huu ni failure? (Set aside the refferrendum).

EAC ni success story in your views? Tuelezee how is it successful compared to SADC (as a Tanzanian).
Je, EAC na SADC ni muungano upi upo more political in your view? As to, how politically mobilize/harmonized is EAC compared to SADC?

Is African Union a more Political Union than Economic? Is it a failure? Je, OAU na AU ni ipi ilkuwa more politically mobilized na ipi ipo relatively more coherent?

Political mobilization is a precedent to a better economic union, if you ask me. And not otherwise..... Ila tusiharibu mada kwa kuanzisha mambo mengine.
Muungano wa England na Scotland is a failure than a success,nitarudi kujadili kwanini; kwa kifupi, unitary unions zina matatizo, na mwingereza aliturithisha Mfumo uliojaa matatizo, Ndio maana mwalimu in the 1990s alisaidiwa jaji bomani kuja na elements za federation Katika muungano wetu ili kuokoa CCM na muungano kwa ujumla, lakini tatizo ikawa shirikisho halikuwekwa lililo kamili; it's about time now;

Kuhusu EAC vs Sadc, kuna Uzi maalum nilijadili Hilo mwaka Jana, unahusu EAC, political mobilization and economic calculations, Nitakupa link later au Angalia profile yangu;

Kuhusu political mobilization kuwa precedent sio issue ya msingi, issue ni je, muungano wa kisiasa yapaswa uje Katika hatua gani? Na wapi kuna case study ya mafanikio ambayo yaliweka political federation kwanza? Hata USA, confederation failed kwasababu siasa zilidharua uchumi, ni pale tu uchumi ulipopewa it's prominence, Leo USA is a success story; however, USA ikipoteza tu it's global dominance kiuchumi, USA will disentagrate;


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkandara, kuwa mwelewa. Sadc ilikuwa ni Kamati ya ukombozi, tena dhidi bwana mkubwa na key player wa sasa wa sadc, RSA.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Swala hapa ni kwamba was it Political au Economic kilichoanzisha ushirika huo? maana wewe leo unazungumza yote haya pasipo kujua Political fundamentals ndio ulotuunganisha hata sisi sote tukagombania Uhuru wa Tanganyika, na leo hii tunazungumzia Uchumi wetu kutokana na Uhuru huo. Huwezi kugombania Uchumi wakati huko huru, Nachokupinga wewe ni pale unaposema Uchumi hutangulia Siasa wakati wanaopanga ushirika wa aina yoyote ile iwe tanzania au EU ni Wanasiasa kwanza kukubaliana na ndipo huwashirikisha Wachumi, Wanasheria na kadhalika. Pasipo Political understanding hakuna makubaliano ya Kiuchumi yanayoweza kufikiwa. A success story ya USA kiuchumi ni matunda ya Ushirika wao na sio sababu ya kushirikiana. Wao ilitokana na - Political will.
 
Swala hapa ni kwamba was it Political au Economic kilichoanzisha ushirika huo? maana wewe leo unazungumza yote haya pasipo kujua Political fundamentals ndio ulotuunganisha hata sisi sote tukagombania Uhuru wa Tanganyika, na leo hii tunazungumzia Uchumi wetu kutokana na Uhuru huo. Huwezi kugombania Uchumi wakati huko huru, Nachokupinga wewe ni pale unaposema Uchumi hutangulia Siasa wakati wanaopanga ushirika wa aina yoyote ile iwe tanzania au EU ni Wanasiasa kwanza kukubaliana na ndipo huwashirikisha Wachumi, Wanasheria na kadhalika. Pasipo Political understanding hakuna makubaliano ya Kiuchumi yanayoweza kufikiwa. A success story ya USA kiuchumi ni matunda ya Ushirika wao na sio sababu ya kushirikiana ilitokana na - Political will.


Mnachepuka Katika hoja ya msingi. Political will, political understanding, all these are vague issues; naombeni majibu kwa maswali yafuatayo:

1. Katika muktadha wa ushirikiano baina ya taifa zaidi ya moja, Kati ya economic integration (harmonization of a variety of policies) and political federation, kipi uanza?

2. Kabla ya federation, USA was a confederation, why did confederation fail Kama sio sababu siasa kutangulia uchumi?

3. Between economics and politics, what's the main factor behind stability ya muungano wa USA?

4. Kwanini kuna kusua sua kwa EAC kwenda kwenye political federation

5. Kwanini kuna kusua sua kwa suala la uchumi kupewa kipaumbele Katika mjadala juu ya Mfumo sahihi wa muungano baina ya znZ na Tanganyika?

Naomba majibu au mtazamo wenu kwa maswali haya.

Cc Kobello


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mnachepuka Katika hoja ya msingi. Political will, political understanding, all these are vague issues; naombeni majibu kwa maswali yafuatayo:

1. Katika muktadha wa ushirikiano baina ya taifa zaidi ya moja, Kati ya economic integration (harmonization of a variety of policies) and political federation, kipi uanza?

2. Kabla ya federation, USA was a confederation, why did confederation fail Kama sio sababu siasa kutangulia uchumi?

3. Between economics and politics, what's the main factor behind stability ya muungano wa USA?

4. Kwanini kuna kusua sua kwa EAC kwenda kwenye political federation na kwanini kuna kusua sua kwa suala la uchumi kupewa kipaumbele Katika mjadala juu ya Mfumo sahihi wa muungano baina ya znZ na Tanganyika?

Naomba majibu au mtazamo wenu kwa maswali haya.

Cc Kobello


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimeshakujibu vizuri tu ya kwamba swali lako la kwanza linazungumzia MATAIFA wakati hapa hatuna mataifa tuna TAIFA moja, Hivyo ushirikiano wa Tanganyika na Zanzibar sio wa Mataifa kama unaozungumzia.

Pili, Unataka sisi tuzungumzie Shirikisho wakati tunazungumzia Muungano huu, hivyo kila unapojadili wewe unataka kutuvuta sisi ktk Shirikisho na kulizungumzia mazuri yake wakati unashindwa kuelewa kwamba Shirikisho ni baada ya Kuwepo Mataifa, hapa sisi tunaunda Utaifa wetu na ndipo nasema Political will hutangulia. Kusema kwamba hamtaki kuuvunja Muungano wakati mnazungumzia Mataifa mawili tofauti kuunda Shirikisho ni kutaka kuudanganya Umma.

Kifupi mkuu wangu tumefikia hapa na kukwama hapa kwa sababu ya kuchukua collective political will ambayo kia mtu anakuja na hoja zake na ndio mana tumeshindwa kupata maridhiano na kihistoria hakuna maridhiano ya kisiasa yanayotokana na collective Political will - Katiba mpya ni Political kwanza na ndipo tulipokwama.

Kuhusu USA, nchi yoyote inapochukua hatua ya mbele haina maana ya nyuma ili fail isipokuwa wanaweka Umoja zaidi kutokana na kujifunza kwamba ushirika wao kijamii sio tu wa kisiasa bali kiuchumi unawapa nguvu zaidi. Walitoka confideration kama ya EU na kuwa Federation haina maana wali fail ktk Confideration mnayoipiga debe.

Hivyo kwa sisi kuungana na Zanzibar haikutokana na kwamba tuli fail Kisiasa kutokuwa pamoja ila ni hatua ya mbele na hivyo tuungane Kisasa na Kiuchumi. Wala EAC ku fail kwake mwanzo sio kutokana na kuunda mahusiano ya Kiuchumi kwanza, bali hatukukubaliana Kisiasa vile vile. It all depends maana leo hii Siasa na Uchumi vinakwenda sambamba. Ubepari ni siasa inayo define njia unayochukua kiuchumi, wapo wanaofanikiwa na wapo wanao fail.

Stability ya USA inatokana na Muungano wao kuwa Imara - Patroitism ni sehemu kubwa sana ya mafanikio yao!
 
Siasa na uchumi ni ringi na tairi haviachani. Ubishani wenu katika hilo hauna tija. Kama ilivyo la muungano na shirikisho linavyowachanganya tanzania ni kama popo kitabia haileweki uzanzibar na utanzania mpaka wake
 
Nimeshakujibu vizuri tu ya kwamba swali lako la kwanza linazungumzia MATAIFA wakati hapa hatuna mataifa tuna TAIFA moja, Hivyo ushirikiano wa Tanganyika na Zanzibar sio wa Mataifa kama unaozungumzia.
Hapa ndipo mnapojichanganya. Tanganyika and Zanzibar were two sovereign states. Baada ya kuungana, suala la autonomy za kila serikali liliwekwa wazi kwenye mkataba wa muungano, lakini badala ya kutekeleza, mshirika mmoja tu znZ Ndio akapewa semi autonomous status. This was wrong and will continue to haunt the union indefinitely bila ya mshirika mwingine Tanganyika nae kuwa na fiscal autonomy;

Pili, Unataka sisi tuzungumzie Shirikisho wkaati tunazungumzia Muungano hivyo kila unapojadili wewe unataka kutuvuta sisi ktk Shirikisho na kulizungumzia mazuri yake wakati unashindwa kuelewa kwamba Shirikisho ni baada ya Kuwepo Mataifa, hapa sisi tunaunda Utaifa na ndipo nasema Political will hutangulia. Kusema kwamba hamtaki kuuvunja Muungano wakati mnazungumzia Mataifa mawili tofauti kuunda Shirikisho ni kutaka kuudanganya Umma.

Hivi kwanini mnaogopa sana Neno "shirikisho"?

Kifupi mkuu wangu tumefikia hapa na kukwama hapa kwa sababu ya kuchukua collective political will ambayo kia mtu anakuja na hoja zake na ndio mana tumeshindwa kupata maridhiano na kihistoria hakuna maridhiano ya kisiasa yanayotokana nacollective Political will.
Kwa mtazamo wako, kuna Wakati wowote ule ambao muungano ulikuwa shwari Katika miaka 50? Maana unavyojadili hapo juu ni Kama mgogoro uliopo ni breaking news.

Maswali mengine haujayajibu mkuu. Nasubiri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siasa na uchumi ni ringi na tairi haviachani. Ubishani wenu katika hilo hauna tija. Kama ilivyo la muungano na shirikisho linavyowachanganya tanzania ni kama popo kitabia haileweki uzanzibar na utanzania mpaka wake
Haswaa, lakini mkuu huwezi kununua tairi bila kujua kipimo cha ringi ulokuwa nayo..
 
Siasa na uchumi ni ringi na tairi haviachani. Ubishani wenu katika hilo hauna tija. Kama ilivyo la muungano na shirikisho linavyowachanganya tanzania ni kama popo kitabia haileweki uzanzibar na utanzania mpaka wake
Hoja Hapa sio kuachana au kutoachana, hoja ni je - msukumo wa ushirikiano baina ya mataifa mawili au zaidi unajengwa kwa msingi upi baina ya uchumi na siasa? Kipi kinaanza, economic integration - harmonization of various policies au political federation/unity/union?



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hoja Hapa sio kuachana au kutoachana, hoja ni je - msukumo wa ushirikiano baina ya mataifa mawili au zaidi unajengwa kwa msingi upi baina ya uchumi na siasa? Kipi kinaanza, economic integration - harmonization of various policies au political federation/unity/union?



Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio nakujibu sisi hatuna Mataifa mawili!. Kama unazungumzia EAC ambayo ni confideration bila shaka inatokana na Uchumi na sisi ni wanachama. Sisi hatuandiki katiba mpya hii kuunda Confideration wakati tuna Union -Hatuna mataifa mawili.
 
Mkuu Mkandara,
Uzi wako title yake ni "serikali Tatu na gharama zake", naomba nisaidie Katika hili:

• Je, gharama za serikali Tatu KIUCHUMI ni Zipi?

Umejadili sana upande wa siasa, bila ya kuangalia upande wa uchumi, hoja zako zitakuwa biased.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkandara,
Uzi wako title yake ni "serikali Tatu na gharama zake", naomba nisaidie Katika hili:

• Je, gharama za serikali Tatu KIUCHUMI ni Zipi?

Umejadili sana upande wa siasa, bila ya kuangalia upande wa uchumi, hoja zako zitakuwa biased.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa bora tumerudi ktk mada yenyewe unachotaka kujua ambacho hakijajadiliwa kipi haswa - come to the point!
 
Sawa bora tumerudi ktk mada yenyewe unachotaka kujua ambacho hakijadiliwa kipi haswa - come to the point!

Serikali Tatu na gharama zake - ainisha gharama za kiuchumi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Serikali Tatu na gharama zake - ainisha gharama za kiuchumi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani mwisho wa mada yangu niliweka maswali ambayo kwa muda wote tumekuwa tukizungumzia maswala mengine kabisa. Wewe na Nguruvi3 mkitangaza sana kuunda confideration kinyume cha hata rasimu inayopendekeza federation. Ni mawazo yenu na tumeyasikia japo hayaridhishi na kinyume cha matakwa ya wananchi ktk uandishi wa katiba mpya.

Mimi nimezungumzia serikali 3 kwa maana ya federation na gharama zake ambazo kiuchumi hazifungamani kabisa kwa sababu Uchumi wa nchi unaendeshwa na mrengo wa vyama. Nimechukulia gharama zake kutokana na kodi za wananchi hivyo mtazamo wangu hautazami uwezeshaji wa wananchi kiuchumi maana hili linawezekana ndani ya serikali 1, 2 au 3 inategemea na policies zilizowekwa..

Labda tu niseme kwamba, kuwepo kwa serikali ya 3 kutaongeza gharama na sio kama rasimu inavyosema kuwa ni kidogo kwa sababu Tanganyika itakuwa na mihimili yake, Zanzibar na serikali ya Muuungano. Kwa maana hii Zanzibar tayari wao wameshakuwa na serikali yao hivyo wanaelewa gharama zao, itawagharimu kidogo sana ktk serikali kuu, lakini sisi tutakapo kuwa na serikali ambayo haipo ina maana gharama zake zitakuja kwetu kutokana na ukubwa na population yetu.

Hata ukiwaondoa viongozi wa Zanzibar bado utawa replace na viongozi wa bara katika nafasi hizo hizo, hivyo kiuchumi hatutakuwa tume serve kitu isipokuwa naamini kwamba unapoongeza jiko jingine ina maana utahitaji mpishi na wahudumu wengine haijalishi unapika chakula kwa watu wangapi.

Na ndio nikasema kama kweli tunataka serikali 3 ili tuwe na ufanisi zaid tusikwepe gharama za matumizi maana zitaongezeka tu na kwa bahati mbaya sana bajeti yetu inahitaji misaada zaidi ya uwezo wetu na kwamba misaada ina kiwango chake hivyo kodi za wananchi ndizo zitaziba pengo. Kila napoisoma rasimu naona vyeo vingi zaidi, nafasi nyingi zaidi na hivyo kuwagharimu wananchi walipa kodi zaidi.
 
Mnachepuka Katika hoja ya msingi. Political will, political understanding, all these are vague issues; naombeni majibu kwa maswali yafuatayo:

1. Katika muktadha wa ushirikiano baina ya taifa zaidi ya moja, Kati ya economic integration (harmonization of a variety of policies) and political federation, kipi uanza?
Objection!! .... leading question Sir.

2. Kabla ya federation, USA was a confederation, why did confederation fail Kama sio sababu siasa kutangulia uchumi?
Confederation ili-fail kwa sababu continental congress, ambayo ndiyo ilikuwa chombo kikuu cha muungano kilikuwa hakina nguvu yeyote ya maana na hakisikilizwi na State government yeyote. Nationalists au wenyewe wanawaita Federalists akina Johhny Jay,Alex Hamilton, Ben Franklin na Mzee mwenyewe George Washington waka-propose constitution ya kuipa nguvu Central government na kuazisha Rais, mahakama na kodi. Confederation ilifail kwa sababu kulikuwa hakuna central government, bali continental Congress (weak)

3. Between economics and politics, what's the main factor behind stability ya muungano wa USA?
Politics, mbona swali rahisi sana? Muungano wa USA unaweza kuuangalia kutokana na "Dateline" unayotaka au "Angle" unayotaka. Pre-colonial, Colonial, Post-colonial/Pre-Civil War, Post-Colonial/ Post-Civil War .. etc na siasa zake zipo tofauti regardless ya uchumi.
Na siku zote, ni vita kati ya State rights Vs. National rights hasa baada ya ukoloni, regardless of the economy. Na muungano huu wa kisiasa ndio uliochochea muungano wa kiuchumi. Na muungano wa kiuchumi between states umebadilika na utaendelea kubadilika, almost on a daily basis.

4. Kwanini kuna kusua sua kwa EAC kwenda kwenye political federation
You tell me.
EAC iliundwa kutokana na theory ambayo wewe umeikazania. Hiyo ni theory iliyotumiwa na EU na kuna- arguments nyingi kuhusu hiyo theory kuwa "Blueprint" ya federations za siku hizi. Hata EU wenyewe hawawezi kuwa Federation hata siku moja. Especially with the coming-up of Nationalism in Europe (angalia trend za chaguzi za nchi mbalimbali za EU)

Msome Prof. Adebayo Adedeji kwenye "History and Prospects For Regional Intergration in Africa".

5. Kwanini kuna kusua sua kwa suala la uchumi kupewa kipaumbele Katika mjadala juu ya Mfumo sahihi wa muungano baina ya znZ na Tanganyika?
Nitajaribu kwa kila namna kuipata clip yako ya Star Tv, ili nione ni jinsi gani suala la uchumi halijapewa kipaumbele. Ninavyoona, suala la uchumi ndiyo kila kitu. It's all about gharama na ndiyo hapo mtakapowapata wananchi.
Wananchi wengi hawajali idadi ya serikali kwa kutaka madaraka. Watachagua mfumo nafuu ambao utawarahisishia maisha yao ya kila siku (hasa kodi na echange ya bidhaa kati yao). Siyo mfumo utakao- complicate mambo haya. Ndiyo maana mfumo wa majimbo ni failure kubwa katika Political propositions zilizowahi kutokea Tanzania. Na mfumo huu wa majimbo, ndio precedent nzuri kwa Federation. Kwahiyo, sijui umeipata wapi hii ya kusuasua.

Naomba majibu au mtazamo wenu kwa maswali haya.

Cc Kobello
Done...
 
Objection!! .... leading question Sir.

Confederation ili-fail kwa sababu continental congress, ambayo ndiyo ilikuwa chombo kikuu cha muungano kilikuwa hakina nguvu yeyote ya maana na hakisikilizwi na State government yeyote. Nationalists au wenyewe wanawaita Federalists akina Johhny Jay,Alex Hamilton, Ben Franklin na Mzee mwenyewe George Washington waka-propose constitution ya kuipa nguvu Central government na kuazisha Rais, mahakama na kodi. Confederation ilifail kwa sababu kulikuwa hakuna central government, bali continental Congress (weak)

Politics, mbona swali rahisi sana? Muungano wa USA unaweza kuuangalia kutokana na "Dateline" unayotaka au "Angle" unayotaka. Pre-colonial, Colonial, Post-colonial/Pre-Civil War, Post-Colonial/ Post-Civil War .. etc na siasa zake zipo tofauti regardless ya uchumi.
Na siku zote, ni vita kati ya State rights Vs. National rights hasa baada ya ukoloni, regardless of the economy. Na muungano huu wa kisiasa ndio uliochochea muungano wa kiuchumi. Na muungano wa kiuchumi between states umebadilika na utaendelea kubadilika, almost on a daily basis.

You tell me.
EAC iliundwa kutokana na theory ambayo wewe umeikazania. Hiyo ni theory iliyotumiwa na EU na kuna- arguments nyingi kuhusu hiyo theory kuwa "Blueprint" ya federations za siku hizi. Hata EU wenyewe hawawezi kuwa Federation hata siku moja. Especially with the coming-up of Nationalism in Europe (angalia trend za chaguzi za nchi mbalimbali za EU)

Msome Prof. Adebayo Adedeji kwenye "History and Prospects For Regional Intergration in Africa".

Nitajaribu kwa kila namna kuipata clip yako ya Star Tv, ili nione ni jinsi gani suala la uchumi halijapewa kipaumbele. Ninavyoona, suala la uchumi ndiyo kila kitu. It's all about gharama na ndiyo hapo mtakapowapata wananchi.
Wananchi wengi hawajali idadi ya serikali kwa kutaka madaraka. Watachagua mfumo nafuu ambao utawarahisishia maisha yao ya kila siku (hasa kodi na echange ya bidhaa kati yao). Siyo mfumo utakao- complicate mambo haya. Ndiyo maana mfumo wa majimbo ni failure kubwa katika Political propositions zilizowahi kutokea Tanzania. Na mfumo huu wa majimbo, ndio precedent nzuri kwa Federation. Kwahiyo, sijui umeipata wapi hii ya kusuasua.

Done...

Mjadala wa star tv hautakuwa juu ya katiba Wala muungano. Ni uhusiano baina ya economic growth and poverty alleviation.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu Mkandara,
Uzi wako title yake ni "serikali Tatu na gharama zake", naomba nisaidie Katika hili:

• Je, gharama za serikali Tatu KIUCHUMI ni Zipi?

Umejadili sana upande wa siasa, bila ya kuangalia upande wa uchumi, hoja zako zitakuwa biased.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba niambie gharama hizo zilizokuwa highlited (njano) zitafutika kabisa kwenye gharama za serikali mpya ya Tanganyika?

Mimi naweza kukuonyesha ni kivipi zitaonekana tena, kwenye serikali mpya ya Tanganyiaka, kwa sababu baadhi yake zipo serikali ya Zanzibar.

Angalia pia vote 22 (3.3 trillion) na uniambie, pamoja na ku-service hiyo Debt, Tanganyika itakuwa na madeni yake apart from that??

Halafu utuambie kama gharama zitaongezeka au la.

Nguruvi3
 

Attachments

Naomba niambie gharama hizo zilizokuwa highlited (njano) zitafutika kabisa kwenye gharama za serikali mpya ya Tanganyika?

Mimi naweza kukuonyesha ni kivipi zitaonekana tena, kwenye serikali mpya ya Tanganyiaka, kwa sababu baadhi yake zipo serikali ya Zanzibar.

Angalia pia vote 22 (3.3 trillion) na uniambie, pamoja na ku-service hiyo Debt, Tanganyika itakuwa na madeni yake apart from that??

Halafu utuambie kama gharama zitaongezeka au la.

Nguruvi3

Kobello,
You raise very interesting and relevant issues, naomba univumilie Kidogo tu hadi nitakapo pandisha Uzi wa gharama ili tujadiliane Kule. Most of these issues Zipo Katika hoja yangu ya msingi.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom