Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Asante sana mamaa Kelvin, ndio namalizia glass ya pili saa hizi.....!!basi pata glasi 2 za milk shake bili kwangu lol! asante sana kwa heshima ulonipa
Asante sana mamaa Kelvin, ndio namalizia glass ya pili saa hizi.....!!basi pata glasi 2 za milk shake bili kwangu lol! asante sana kwa heshima ulonipa
mkuu hebu uwe siriazi bana, hizi ni tetesi ama???.....mbona utanifanya niende kukopa tena lol!
Umenichekesha wakati mwenzio nilikuwa na huzuni! Shosti usikope mpaka uione salary slip mpya! Lol!
pole mwaya unahuzuni ya nini tena??
lakin bora nimekuchekesha umepata raha lol!
jaman mwenye habar kamili anijuze,ni kwel serikal imeongeza mishahara ya watumishi ghafla?
We acha tu ndugu yangu!
Hivi ule mpango wa kuwapatia makazi ili muondoke kuishi uswahilini umeishia wapi|?Hakunaga kitu kama hiki ikiwa mpaka leo sisi polisi hatujapokea mshahara wa mwezi Oktoba sasa watawezaje kuongeza mshahara ,Tunaomba serikali msitugombanishe na wenye nyumba wetu.
jaman mwenye habar kamili anijuze,ni kwel serikal imeongeza mishahara ya watumishi ghafla?
pole mwaya basi usihuzunike tena .........
Yapandisha mishahara ya vigogo ghafla
*Waziri Kombani adai imefuata taratibu
*Wengine waongezewa Sh milioni moja
.........Kombani alikiri kima cha chini cha mshahara ni kidogo na kueleza kuwa, Serikali ipo katika majadiliano.
Kima cha chini kilipanda kutoka Sh 130, 000 hadi Sh 170, 000. Tunajua kima hiki hakitoshi lakini tupo katika majadiliano, alisema.
hapana, mie pia nimesikia asubuhi radio free kutoka magazetini. labda gazeti lilichakachuaahaaa! nilipoona jina lake kwamba ni chakachuaz basi nimejua kaichakachua tu habari hii hana lolote
mkuu kama ni kweli aisee nawapeni pole sana.
sasa kama serikali imeshindwa kuwalipa ni wazi kwamba haina hela kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiri, na ikiwa kwamba CCM waliweza kufanya mkutano wa mamilioni kule Dodoma bila kujali kwamba kuna watumish ambao hawajalipwa mishahara basi CCM imekosea sana. Nafikiri kama iliweza kutafuta hela kwa wafadhili na popote pale ili kufanikisha ule mkutano basi wangeweza kutumia nguvu hizo hizo kutafuta hela za kulipa watumish wake kwakua CCM ndo serikali yenyewe...............