Martisisy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 418
- 312
Season 9 imeishia epsod ya 12 mkuu aijafka mpk 24Year ime endelea season 9 mbna mkuu
Season 9 imeishia epsod ya 12 mkuu aijafka mpk 24Year ime endelea season 9 mbna mkuu
Umenikumbisha mkuu kuna yule jamaa kaigiza kwny Arrow ambae n baba mzaz na mdogo ake na Oliver Queen, mpaka alipoolewa na kuvishwa pete nikachoka kabsa, wazungu n washenz hatarushawai kuona seriez inaitwa KYRE XY basi kuna jamaa anaitwa MATTY DALLAS nilipoambiwa shoga sikuamini nikasema anasingiziwa mpk siku alipotangaza ameoolewa nikachoka kutokana jinsi alivyoigiza katika KYLE XY aisee huwezi amini kabisa mashoga wa mberehasa waigizaji wanakuwa strong na Smart fully sixpack
na hata role zao wanazocheza nI zile za CLEVERPEOPLE na ni za kigentleman hasa
Noma sana hii kitu,mzee kiefer sutherland au jack bauer wa kwenye 24 ndani,mwanjo mwanjo imeanza na utamu
Nimeipa 5 *Kama wewe ni mpenzi, angalia kuna series inaitwa THE LAST SHIP hautajuta, ni Bonge moja series
Yaani hapo ndio tumsahau Beur kwenye 24 daaaah so sad.Noma sana hii kitu,mzee kiefer sutherland au jack bauer wa kwenye 24 ndani,mwanjo mwanjo imeanza na utamu
Nishamaliza blacklist hapa,nabung`aa macho kimshangao leo queen of the south haijatoka!dah!Yaani hapo ndio tumsahau Beur kwenye 24 daaaah so sad.
Watching it now.
Baadae blacklist
Ukiona hivo ujue wanashoot scenes badoNishamaliza blacklist hapa,nabung`aa macho kimshangao leo queen of the south haijatoka!dah!
Itakuwa inakuja season 2Ukiona hivo ujue wanashoot scenes bado
hii ilinifanya niwaonee huruma ma solder!!!Wakuu mpo?
Ebhana hiiii american odyssey ni balaa. Watching it now baada ya kuwa naiweka kapuni for so long
Jamaa anajua sana hii kitu itakuwa Kali sana mbeleNoma sana hii kitu,mzee kiefer sutherland au jack bauer wa kwenye 24 ndani,mwanjo mwanjo imeanza na utamu
Season one imeishaUkiona hivo ujue wanashoot scenes bado
Chief...hii link haina latest series? like desgnated survivor?!Index of /Data/Serial/ fungua hapo
Designated survivor itakufaaWakuu naomba msaada wa kujua majina series mpya kali za kijasusi kiterrorist na kimafia.Mimi tangu nimemaliza 24sijapata kitu kitamu tena.naomba list wakuu
Mm mbona niliishushia humo humo. Ukifika kwwnye herufi d utaiona mkuuChief...hii link haina latest series? like desgnated survivor?!
Siipatii picha hii kitu.. jack bauer( keifer) na nikita (maggie q) ndan ya show moja.. iko very promising..unless waiharibu uko mbele..
Hawachelewi kuleta mambo yao ya David Cameroon wananikera sana but ilivyo anza tu inaonyesha itakuwa poa sana mbeleSiipatii picha hii kitu.. jack bauer( keifer) na nikita (maggie q) ndan ya show moja.. iko very promising..unless waiharibu uko mbele..