Series (Special thread)

Bado parefu mkuu. Site kama nkiri.com ndio MB chache kabisa unaruka na mzigo.
Vincenzo Jr unataka kituuzia mbuzi kwenye gunia 😄😄 unatuambia iyo site ina mb nafuu kama nkiri ila sasa naingia nakutana na episode moja ina MB 200+

Kwasisi wazee wa nkiri tuliozoea mb 90, 80, 70 mpaka 60 per episode kwakweli hapo hatutokuelewa 😄
 
😃😀😀Huko kidogo quality ni safi mkuu
 
Inawezekana ila kwa app za movie atumie Netflix tu onstream ataisikilizia kwenye bomba
Kwenye swala la ap watajijua wenyewe. SI WAMASEMA UKIMILIKI EPO unakuwa na hela zaidi ya sisi wa android gadgets? Sasa watumIe hizo hela ku subscribe huko netflix, hulu, apple n.k
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…