Ipi ni nzur kuliko zote
Duuh!! we jamaa nimekupigia saluti!
Duuu ebana uko juu mazee . Icheki na power ila Ina strong language na mambo YETU yalee kiaina
Duhh. Hapa kazi tu
The wire..! Daaah hili ni moja ya bonge la seriesHabari wanajamvi naomba mnisaidie kwa wale wataalam wa Series (tamthilia) wanijuze series gani kali ( kuna visa, mikasa, ngumi, mapenzi, usaliti, visasi, visa mafunzo) isiyochosha wala kukinai . Mbali na nilizoziona na ambazo ninazo au nshazidownload kama vile THE WIRE, PRISON BREAK, POWER, THE 100, BLIND SPOT. Ni hizo tuu kwa upande wangu. Tafadhali tiririka zako nizijue nami nizitafute na kuangalia. Na ukiweka na link yake itasaidia zaidi. Asante in advance
Okay mkuuAsante JVM ntazicheck ngoja niagize MB za kutosha Leo
Nataka niingalie hyo unayoifananisha na prison break,maana kwangu it's the bestTRUE DETECTIVE NDO SERIES PENDWA NA YENYE AKILI KULIKO HATA PRESON BREAK... NI CHEK"PM
Moja ya pili anatoka mwezi wa nneZipo season ngapi?