Mbona zipo aisee alafu mwisho wa maombi tar.26 ingia tanapa website uombeNa sisi tuliopitia jkt tunaweza pata ajira huko, tumehenya vya kutosha!!
Na sisi tuliopitia jkt tunaweza pata ajira huko, tumehenya vya kutosha!!
Kukosa kazi za kufanya unajikuta unazindua kitu kile kile ila unabadiri jina na kutegemea matokeo tofauti
Uzinduzi wa ilo jeshi usu uendane na maboresho makubwa yautendaji kazi ndani ya hiyo wizara.
Tegemea ufanisi na weledi mkubwa sheikhInabidii watumie vifaa vya kisasa kama spy drones zitakazorushwa hifadhani na kupiga picha ili kuwanasa kirahisi majangili.