Mod aliye mpa Seran ban hakufanya haki. Kama ulimtongoza akakutolea nje na ukampa ban u are a castrated mosquito ila kama kuna mengne behind the scene still u are a cow+a+r+d. Labda kama wanatukanana huko dm au mnajuana ni sawa but still u are porcupine. Free Seran na upige ban m PAK and those guys who the only thing they know ni matusi tena ya mzazi wa mtu Seran hajawahi toa tusi la nguoni. Ila kama vigezo vya ban ni multiple ids ban till 2030.