Mjinga wewe...Wakati ukisema ya Cong DR kuwa inaibiwa Rasilimali na Rwanda mbona hushangai kuwa nchi yako inaongozwa kutokea Kigali?
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.
Kuna Wananchi fulani hivi kutoka Taifa lililo Jirani na Rwanda ( wanaoongoza kwa Uvivu na Ugoigoi Afrika Mashariki nzima ) wanapenda na wanatamani mno nao wangebarikiwa kuwa na Akili Kubwa kama Wanyarwanda au hata wawe tu ' Watutsi ' ili watambe ila imeshindikana na sasa wamebaki tu Kuichukia Rwanda, Wanyarwanda na Rais wao Shujaa na Mwanamume wa Shoka Mheshimiwa Paul Kagame..
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.
Sasa unafanya Nini huku Tanzania
Umeandika kipopoma na kitutusa ujinga mtupu
Hata VP Tanzania nayo inanuka genocide ya kuwadumbukiza watu kwenye maji vifo vyao ni MTU mmoja mmojaRwanda inanuka genocide. Kagame apambane aishi milele ila kama atakuja kufa chuki aliyopandikiza italipuka siku ileile akitangazwa kafa.
Saizi ni muda wa kuwaza soko zaidi watu kibao Ndiyo fursa za kibiasharaRwanda iache kuiba rasilimali za CONGO RDC.
You will die before him!Rwanda inanuka genocide. Kagame apambane aishi milele ila kama atakuja kufa chuki aliyopandikiza italipuka siku ileile akitangazwa kafa.
and you will die before me.You will die before him!
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.
Mbona unaichukia sana Rwanda ndugu?Kwani hiyo Vita ilianzishwa na watanzania so walibomoana wenyewe kwa wenyewe unaongea utafikiri Kuna mmarekani alivamia Rwanda au mataifa ya nje
Mkuu punguza ubishi hata SA,China na India yapo hayo unayoyasema,Je wao tusiwasifu kwa hatua wanayoendelea kupiga?Kwani wewe unajua maeneo hani Rwanda? Kigali ipo Rwanda. Ni wapi kule uliona nyumba za tembe/nyasi kama sisi? Shule zao kuna sehemu uliona wanakaa chini? Ile ni nchi ndogo, landlocked, ina resources kiduchu, mauaji ya genocide yaliiharibu nchi kwa kiasi kikubwa. Na kama kusingekua na vita leo hii tungekua tunapokea misaada toka huko.
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.
Maisha ya lutojikubali kweli wanaosafiri wanakazi kubwaHao asili ya Ethiopia so hata waithiopia ni mageneous sana,angalia trend ya viongozi wao akina Selasie na hata huyu alipewa tuzo majuzi hapa
Nimeongea ninachokijua physically, prove me wrong kwa ushahidi. Unajua Rwanda raia wake wanatumia bima ya afya kwa kiwango gani! Usipende kuhadithiwa go there and see.Mkuu punguza ubishi hata SA,China na India yapo hayo unayoyasema,Je wao tusiwasifu kwa hatua wanayoendelea kupiga?
nimeuliza kama wana akili nyingi wanyarwanda kwa nini waliuana wao kwa wao? maana kuna watu wanasema wanyarwanda wana akili nyingiMbona unaichukia sana Rwanda ndugu?
Hivi uchumi wa Rwanda unaufikia uchumi wa Kariakoo na Akili zao zote hizo?Wakati ukisema ya Cong DR kuwa inaibiwa Rasilimali na Rwanda mbona hushangai kuwa nchi yako inaongozwa kutokea Kigali?
Rwanda ndiyo Taifa pekee lenye Watu wenye Akili nyingi na zilizobarikiwa pengine kuliko hata Mataifa mengine Barani Afrika.