Sera ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Rais Magufuli

Sera ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Rais Magufuli

Kwa tegemezi lenu hilo ndio mmeshazoea kuwa na viongozi wanaozunguka dunia nzima kuomba misaada.
Lazima mtarudi vijijini kulima hakuna mchezo na Hapa Kazi Tu.
Huwezi kukwepa kwamba TZsiyo third country na tunajua kwamba all third countires including TZ zinaendesha bajeti zao kwa misaada ya wahisani. Angalia bajetu yetu ya 2016/17 uone tutaomba hela asilimia ngapi ili mambo yawe sawa??????
 
Tuna gesi, mafuta na rasilimia nyingi sana lazima wazungu watufuate. Kama hawaji basi wakae huko kwao na sisi tukae kwetu.

Uchumi wetu umeimarikaje kwa gesi yako? Mafuta hatuna yako Kenya na Uganda.
Kwa taarifa mradi wa gesi wa TPDC unatutia hasara kubwa maana tunachota fedha hazina kulipa deni la EXIM China kwa kuwa mauzo ya gesi kwa TANESCO the only client ni madogo sana na TANESCO hawailipi TPDC hicho kidogo, hapo ni nje ya gharama za uendeshaji wa mitambo na bomba hilo!!!!!!!!!!!!. Uchumi wa gesi unahitaji very high thinking capacity in planning before committing such massive investments.
 
Acha zako mkuu! Mbwembwe nyiingi. Hebu rudia kusoma ulichoandika kwa mikono yako!Kuwa na akili haihitaji kupanda juu ya bati na kuutangazia umma. Ni matendo tu hukutanabaisha kama ambavyo unahamaki kwa Kung'ang'aniza hoja [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121]

NAKUPA SHULE KUBWA KWA KIFUPI TU KUWA: NORTH EAST AFRICA IS THE LAND OF PEOPLE OF THE COLOUR(BLACKS). ALL PALE FACES YOU SEE, ARE THE IMPOSTERS. THE WORD SAUDI COMES FROM "ASWAD" WHICH MEANS BLACK.
CANAANITES AND BIBKICAL HEBREW AND YAHUDI WERE BLACK PEOPLE. BLACK PEOPLE ARE THE TRUE ISRAELITES. GO AND DO YOUR HOMEWORK. LETANYAHU AND HIS PEOPLE ARE THE KHAIRARIAN OR A COVERTED YAHUDI BY RELIGION NOT BY BLOODLINE.

WAAFRIKA MUJIELEWE. HIVI VIUMBE NI MAADUI ZETU. HATUNA SABABU YA KUSHIRIKIANANAO KWA LOLOTE.
HIVI NDIO VIUMBE VIMOJA AWE MTAWALA WA SAUSI ARABIA AMA MTAWALA WA KIMABAVU WA ISRAELIS. NI VIUMBE WALIOJISEMEZEA SOMA ZABURI 83: 1-9

SISI TULIOJITAMBUA TUNAEKEEA KABISA KINACHOENDELEA HAPA UKIMWENGUNI. MSIOJITAMBUA NA MKIAMBIWA NA JAMAA WA NDUGU ZENU HAMSIKII NA WALA HAMTAKI KUELEWA.

SIMPLY BECAUSE KAONGEA JAMAA WA NGUGU YAKO. WAKE UP YOU BLACK MEN AND WOMEN. THIS IS A SERIOUS TIME. WE NEED TO OVERSTAND WHAT GOING ON SO AS TO BE READY TO OVERCOME OUR ENEMIES.
 
Israel ana nini zaidi ya Jinai

Poa Magufuli ulivyopotezea
 
NAKUPA SHULE KUBWA KWA KIFUPI TU KUWA: NORTH EAST AFRICA IS THE LAND OF PEOPLE OF THE COLOUR(BLACKS). ALL PALE FACES YOU SEE, ARE THE IMPOSTERS. THE WORD SAUDI COMES FROM "ASWAD" WHICH MEANS BLACK.
CANAANITES AND BIBKICAL HEBREW AND YAHUDI WERE BLACK PEOPLE. BLACK PEOPLE ARE THE TRUE ISRAELITES. GO AND DO YOUR HOMEWORK. LETANYAHU AND HIS PEOPLE ARE THE KHAIRARIAN OR A COVERTED YAHUDI BY RELIGION NOT BY BLOODLINE.

WAAFRIKA MUJIELEWE. HIVI VIUMBE NI MAADUI ZETU. HATUNA SABABU YA KUSHIRIKIANANAO KWA LOLOTE.
HIVI NDIO VIUMBE VIMOJA AWE MTAWALA WA SAUSI ARABIA AMA MTAWALA WA KIMABAVU WA ISRAELIS. NI VIUMBE WALIOJISEMEZEA SOMA ZABURI 83: 1-9

SISI TULIOJITAMBUA TUNAEKEEA KABISA KINACHOENDELEA HAPA UKIMWENGUNI. MSIOJITAMBUA NA MKIAMBIWA NA JAMAA WA NDUGU ZENU HAMSIKII NA WALA HAMTAKI KUELEWA.

SIMPLY BECAUSE KAONGEA JAMAA WA NGUGU YAKO. WAKE UP YOU BLACK MEN AND WOMEN. THIS IS A SERIOUS TIME. WE NEED TO OVERSTAND WHAT GOING ON SO AS TO BE READY TO OVERCOME OUR ENEMIES.
Mwandiko wako tu unaonesha ukiongea unasimamisha mishipa ya shingo ajabu [emoji2] Take it easy!
 
Ukiangaalia kwa makini sera ya mambo ya nchi za nje ya Rais Magufuli haitofautiani Na sera za Hayati Baba wa taifa Mwalimu Nyerere, haiwezekani na ni aibu kwa viongozi wote wa Afrika Mashariki kujikusanya Nairobi ili kukutana na Waziri Mkuu wa Israel. Kwa uamuzi wa Rais Magufuli kutohudhuria mkutano huo na badala yake kumtuma Balozi Mahiga l salute you Mheshimiwa Rais Magufuli.
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 80s ulifanyika mkutano wa nchi zisizofungamana na upande wowote huko Cancun Mexico, Rais wa Marekani kwa wakati huo Ronald Reagan alioomba kukutana na Mwalimu Nyerere, ilibidi Rais wa Marekani (Superpower Country) amufate Mwalimu Nyerere Hotelini kwake kwa majadiliano. Mheshimiwa Rais Magufuli endeleza sera zako kwa style hiyo ili sera ya nje ya Tanzania irudi katika heshima yake.
Ukisikia MASKINI JEURI ndo hio.
Big up Mr president.
 
Ukiangaalia kwa makini sera ya mambo ya nchi za nje ya Rais Magufuli haitofautiani Na sera za Hayati Baba wa taifa Mwalimu Nyerere, haiwezekani na ni aibu kwa viongozi wote wa Afrika Mashariki kujikusanya Nairobi ili kukutana na Waziri Mkuu wa Israel. Kwa uamuzi wa Rais Magufuli kutohudhuria mkutano huo na badala yake kumtuma Balozi Mahiga l salute you Mheshimiwa Rais Magufuli.
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 80s ulifanyika mkutano wa nchi zisizofungamana na upande wowote huko Cancun Mexico, Rais wa Marekani kwa wakati huo Ronald Reagan alioomba kukutana na Mwalimu Nyerere, ilibidi Rais wa Marekani (Superpower Country) amufate Mwalimu Nyerere Hotelini kwake kwa majadiliano. Mheshimiwa Rais Magufuli endeleza sera zako kwa style hiyo ili sera ya nje ya Tanzania irudi katika heshima yake.
Sidhani kama hiyo ndio sababu , sababu anaijua mwenyewe.
 
Ni sahihi, lakini siasa za sasa siyo kama za wakati ule, hivyo ni lazima uangalie kwa makini na kwa mapana faida ya Raisi kuwepo au kutokuwepo kwenye mikusanyiko ya kimataifa kama hiyo. Kimsingi, kwenye mikosanyiko yenye kujenga mahusiano ya kimataifa yenye hadhi ya taasisi ya URAISI si vyema sana yeye akijiweka nyuma au mbali. Nivizuri aende, ajifunze na kushiriki.
Hakuna cha kujifunza hapo zaidi ya watawala wetu kukusanywa pamoja na kupewa maelekezo ni wafanye.
Ifike mahala tutambue kwamba hawa jamaa tuende nao kwa step sana.
Binafsi napongeza Rais kuwakilishwa na foreign affairs minister.
Israel kama wanatuthamini na wanatambua fursa zilizopo hawana budi Kuja Tanzania moja kwa moja na si kuishia kwa jirani halafu tukamsalimie.
Haiwezekani.
 
1468078721133.jpg
 
ELEWA KUWA YULE NI WAZIRI MKUU. HANA HADHI YA KUWAKUSANYA MARAIS. YEYE ANA HADHI YA KUONGEA NA KASIM MAJALIWA.

KWAHIO NI SAHIHI AKIWAPELEKA MAWAZIRI.
WE NEED TO KNOW OUR PRESIDENTIAL POSITION IS OF A HIGH VALUE.
hivi nyie watu wengine mkoje, unaweza kuta mtu huyu ana masta yake kichwani...unataka jusema akija cameron hapa saizi yake ni majaliwa?
 
Sindano ya maarifa imekuingia nywiiiiii. uwaekeze pia ukoo wako wote kuhusu elimu hii. Hapa mjinga hakatishi.
Na inawezekana hapo nyumbani kwenu huwa unawakusanya vifaranga wako na kuwapa tu-hadithi twako twa kutunga [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Na inawezekana hapo nyumbani kwenu huwa unawakusanya vifaranga wako na kuwapa tu-hadithi twako twa kutunga [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Umekariri elimu dhaifu za malkia wa Uingereza ana ziwa Tanzania. mkakubali kuwalisha ujinga huo na watoto wenu pia. Fanya Tafiti sio kudesa. Maskini wa maarifa wewe.
 
Tanzania haihitaji chochote kutoka Israel. Ngonja nikuelimishe brother Israel inategemea 85% ya bajeti yake kutoka United State, Hujui Tanzania ni nchi tajiri zaidi ya Israel .
Misaada sio Pesa na mali peke yake hata teknolojia unaweza kuwa msaada. Na katika hill Israel wako juu
 
Back
Top Bottom