Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,912
- 11,324
Kweli alishindwa kupata angalau wasio na kashfa ktk wabunge wake zaidi ya 200?Si ndo aliwakuta? Unategemea jipya hapo? Au mtumpya ndani ya CCM?
Kweli alishindwa kupata angalau wasio na kashfa ktk wabunge wake zaidi ya 200?Si ndo aliwakuta? Unategemea jipya hapo? Au mtumpya ndani ya CCM?
Ameshafanya ziara Rwanda ya kimataifa na watanzania tutafaidi wataalamu Wa lT na shirika la Ndege . Kuna haja gani kupoteza feza kwenda ulaya akati hapo Kigali tuu tunavuna teknolojia ya hali ya juu.
Umesoma signature yangu mkuuKwa upande mwingine, kama mtu anaweza kusema hadharani Libya ilikuwa inaongozwa na Sadam Hussein halafu katika kujirekebisha anakosea tena na kusema alikuwa rais wa Quwait!!! mtu huyu anatakiwa kuandaliwa kwa muda mrefu zaidi kabla hajaanza kuhudhuria mikutano ya aina hii. Asije akamwabia Netanyahu "ukirudi wasalimie sana wapiga kura wako kule Palestina" (Just kidding)
Nipe tanoHahahaha ile mvua ilitengewa bilioni tatu halafu huyu mamvi ndiye aliyehalalisha upigaji pesa serikalini na ufisadi namchukia sana mamvi..
Sasa huo mkutano una umuhimu gani kwetu? Toa sababu sio unachungulia harafu unatimua mbio hapa.Kuna mikutano muhimu ambayo si ya kukosa
Kuna mingine haina umuhimu
Ila ule wa Jana alipashwa kuwapo
Duhhh!!!Tanzania haihitaji chochote kutoka Israel. Ngonja nikuelimishe brother Israel inategemea 85% ya bajeti yake kutoka United State, Hujui Tanzania ni nchi tajiri zaidi ya Israel .
Umesoma signature yangu mkuu
Kwenye mikutano kama ile huwa kuna kuwa na collective agreement kitu ambacho huwa ni kibaya sana lkn ukimpeleka mtu wa chini kdg ni rahisi kufanya maamuzi mengine kama hayaifaidishi nchiNi sahihi, lakini siasa za sasa siyo kama za wakati ule, hivyo ni lazima uangalie kwa makini na kwa mapana faida ya Raisi kuwepo au kutokuwepo kwenye mikusanyiko ya kimataifa kama hiyo. Kimsingi, kwenye mikosanyiko yenye kujenga mahusiano ya kimataifa yenye hadhi ya taasisi ya URAISI si vyema sana yeye akijiweka nyuma au mbali. Nivizuri aende, ajifunze na kushiriki.
Umemaliza, huo ndio ukweli wa mambo mlizoea 200 ya pool sawa lakini hiyohiyo kulipia huduma za bank nyingiKodi mtalipa tu ili mpate Elimu bora sio ya kata and huyo mdudu ujinga uishe kwenye vichwa venu tupate Tanzania mpya ya Wasomi sio mafisadi,wavivu na majizi.
Kweli alishindwa kupata angalau wasio na kashfa ktk wabunge wake zaidi ya 200?
Yule na wa Mtera sidhani kama wapo OK upstairs!Unaweza usiwe na kashfa ila kichwani hakuna kitu. Mfano yule wa Ulanga.
Ingekuwa busara ukitupa na matokeo ya sera za Mwalimu Nyerere yalikuwa yapi? Kama unakumbuka miaka ya 80s nadhan utakumbuka na foleni za unga wa Yanga, na yale mahindi yalitoka Marekani. Mkuu sio kila alichofanya nyerere kilikuwa sahihi. Yeye mwenyewe alilijua hilo ndio maana akang'atukaUkiangaalia kwa makini sera ya mambo ya nchi za nje ya Rais Magufuli haitofautiani Na sera za Hayati Baba wa taifa Mwalimu Nyerere, haiwezekani na ni aibu kwa viongozi wote wa Afrika Mashariki kujikusanya Nairobi ili kukutana na Waziri Mkuu wa Israel. Kwa uamuzi wa Rais Magufuli kutohudhuria mkutano huo na badala yake kumtuma Balozi Mahiga l salute you Mheshimiwa Rais Magufuli.
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 80s ulifanyika mkutano wa nchi zisizofungamana na upande wowote huko Cancun Mexico, Rais wa Marekani kwa wakati huo Ronald Reagan alioomba kukutana na Mwalimu Nyerere, ilibidi Rais wa Marekani (Superpower Country) amufate Mwalimu Nyerere Hotelini kwake kwa majadiliano. Mheshimiwa Rais Magufuli endeleza sera zako kwa style hiyo ili sera ya nje ya Tanzania irudi katika heshima yake.
Mkuu si umeshaelezwa hapo juu? Sera ni kutokuhudhuria mikutano ya wakuu wa nchi wenzake! Ila waziri wa mambo ya nje atamwakilishaHivi sera ya mambo ya nje ya Magufuli ni ipi?
Mkuu si umeshaelezwa hapo juu? Sera ni kutokuhudhuria mikutano ya wakuu wa nchi wenzake! Ila waziri wa mambo ya nje atamwakilisha
Yule na wa Mtera sidhani kama wapo OK upstairs!