Sera ya elimu bure imedumaza ubora wa elimu yetu. Turudi kulipa ada

Mtoa maada nadhan hujielewi na hujaelewa tanzania hasa vijijini huenda maisha yako mazur uliyopitia yanakufanya usijue shida za wengine
 
Katika swala la elimu bure ni muhimu sana wameanza na kuingeza usajili wa wanafunzi kisha waje kuongeza madarasa then Walimu kisha mazingira bora ya mwalimu

Hapa ndipo pa kupigania kufika
 
Sera hii ya elimu bure haitufai watanzania eidha hatujafikia hatua hiyo kutoa elimu bure au elimu haipewi kipaumbele.

Taaluma imekufa watoto wamrundikana madarasani Tena wamekaa chini, mwanzo wa mwaka 100000 ya dawati kwa Kila mzazi anayemwanzisha mtoto shule au forme one.

Ni vema turudi kwenye ada ili shule ziweze kupata vitendea kazi na kujenga miundombinu
Wengine najua mtakuja na kejeri lakini wapo watakao nielewa
kuna watu mna roho mbaya sana. hivi kukaa chini huku unapata elimu na kuikosa kabisa elimu bora nini
 
Kisa elimu bure watoto wanamaliza ngazi ya elimu hawajui kusa Wala kuandika

Siku hizi nasikia marufuku kurudisha darasa mtoto

Watakaofanya hivyo hutumbuliwa
 
Mtoa maada nadhan hujielewi na hujaelewa tanzania hasa vijijini huenda maisha yako mazur uliyopitia yanakufanya usijue shida za wengine
Lakini mkuu kwani hapo kabla ya elimu bure wazazi waliwezaje!?

Huko vijijini kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 4 usiku kila siku..vilabu vyote vya pombe vimejaa. Hizo hela wanatoa wapi!?

Umasikini upo ila si kwa kiwango hicho.
 
Kisa elimu bure watoto wanamaliza ngazi ya elimu hawajui kusa Wala kuandika

Siku hizi nasikia marufuku kurudisha darasa mtoto

Watakaofanya hivyo hutumbuliwa
That's very true..

Serikali haipo tayari kukaririsha watoto darasa hata wakifeli..

Nani yupo tayari walipiwe mara mbili.
So lazima wavushwe.
 
Mtoa maada nadhan hujielewi na hujaelewa tanzania hasa vijijini huenda maisha yako mazur uliyopitia yanakufanya usijue shida za wengine
Nimezaliwa kijijini na kukulia kijijini, siku za weekend nilisaidia wazazi kulima kwa jembe la mkono. Elimu haikuwa ya chini kiwango hiki.
Wewe unasema haha hujui elimu inavyotafutwa.

Nilitembea kwa miguu km7 asubuhi kwendashule km7 saa6 kurudi kupika chakula Cha mchana saa7 kurudi Tena should km7, jioni km7 jumla km 28 kwa siku.

Mazingira ya shule

Kila desk watoto watatu kwa madesk makubwa
Kuna watoto2
Madarasa ya juu Kila mtoto na desk lake.

Vifaa, madaftari
Kulikuwa na maktaba za shule, Kila saa4 muda break, ukimaliza daftari la somo lolote, unapeleka kwa mwl wa Somo hilo Ana sign unapeleka maktaba unapewa jipya tena buree.

Vitabu,
Kabla ya mwl was somo lolote kuingia vilanja wa madarasa husoma ratiba na kwenda maktaba kuchukua vitabu vya somo husika na kuvigawa kwa kila mwanafunzi,somo likiisha vinarudishwa store na kuletwa vya somo linalofuata

Kwa upumbavu wako utasema idadi ya watu nchi ilikuwa ndogo, ni sawa.
Je vyanzo vya mapato kwa serikali na mtu mmoja mmoja viliuwaje?

Shule za msingi watoto walisimamishwa masomo ,mzazi anapambana analipa mtoto anaendelea kwenda should

Walimu waliheshimika kwa elimu waliyokuwa wanatoa.

KAMA HAMTAKI KUITA ADA BASI BADIRISHE SENTENSI TUITE KUCHANGIA ELIMU.

NA WALIMU WAONGEZEWE MISHAHARA AU POSHO NA ZILIPWE KWA WAKATI
 
Back
Top Bottom