nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Sera hii ya elimu bure haitufai watanzania eidha hatujafikia hatua hiyo kutoa elimu bure au elimu haipewi kipaumbele.
Taaluma imekufa watoto wamrundikana madarasani Tena wamekaa chini, mwanzo wa mwaka 100000 ya dawati kwa Kila mzazi anayemwanzisha mtoto shule au forme one.
Ni vema turudi kwenye ada ili shule ziweze kupata vitendea kazi na kujenga miundombinu Wengine najua mtakuja na kekejeli lakini wapo watakao nielewa.
Taaluma imekufa watoto wamrundikana madarasani Tena wamekaa chini, mwanzo wa mwaka 100000 ya dawati kwa Kila mzazi anayemwanzisha mtoto shule au forme one.
Ni vema turudi kwenye ada ili shule ziweze kupata vitendea kazi na kujenga miundombinu Wengine najua mtakuja na kekejeli lakini wapo watakao nielewa.